Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka karanga zako kwa ajiri ya kutafuna tuumkuu nashukuru kwa uchambuzi huu, kama unaweza kunielezea zaidi nielezee mkuu
Halafu mbona hii treni ni tofauti na zile za marekani, china na japan hii ya kwetu ina pua pana kama ya kinjekitilingwale embu ona hapa chini👇
Labda demand ipo juu hivyo imeivuta priceHABARI WAKUU,
Hii imekaaje wadau,
nilisafiri na kijana wangu kipindi shule zimefunguliwa kutoka dar kwenda moro nililipa sh, 13,000 na kijana wangu ikawa ni 6,500 sasa hivi nikitaka kukata Tiket mtandaon naambiwa gharama ya mimi tu ni 20,000 asa hapa wananivuruga eti shida ipo wapi kwaanaejua tafadhari
Na
Naomba msaada wa link ya kukatia ticket20000 ni bei ya Express na 13000 ni ordinary, wewe umechagua treni ipi?
Naomba msaada wa link ya kukatia ticket
Mwamba alikuwa anaselekti chuma la express kwa bei ya bia 4!20000 ni bei ya Express na 13000 ni ordinary, wewe umechagua treni ipi?
Yah muda huo ni express tu mkuu!Ewaaaa nilifika hapo ila kwenye nauli ikaja 20 au ile ya saa 6:00 asubuhi ni Express tu?
Asante mkuuTRC SGR Ticketing Online Sales
sgrticket.trc.co.tz
Ukitoka Dodoma ni kituo cha mwisho kabla haujafika Jakaya Kikwete Morogoro town
Ajenge maghorofa mangapi?Mbongo ni mbongo tu mabwasha ya kufanya huduma kusaidia watu ilitakiwa nauli iwe gongo kumi tu kadogosa anataka kujenga ghorofa na kununua v8 kwa nauli hiyo hiyo!