zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Duh hata mimi nilidhani Dar Moro itakua Lisaa limoja tu kumbe I was wrong. Issue ni kwamba inatumia umeme tu ila spidi na distance covered ni kama reli ya Tazara tu!!Yaan Mimi kichwani kwangu nilikuwa nafikiria ...train ya umeme itakuwa na speed!! Labda 30min tuu mpaka Moro...
Kumbe inachukua muda hivyo.
Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Sasa mnataka aseme wametumia wa milioni 2 ili kukufurahisha wewe? Majitu mengine mkoje?Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
| Electric train 1 Economy: 1.6 kWh per 100 passenger-km (full), 0.016 kWh/p.km Its not clear if this energy consumption is average or max power. Economy: 4.4 kWh per 100 passenger-km (full), 0.044 kWh/p.km High speed intercity train Electric Economy: 3 kWh per 100 passenger-km (full), 0.03 kWh/p.km |
Kwa rate ipi? Lengo ni kushusha bei ya umeme.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) imetumia umeme wa Sh336,000 katika safari ya abiria ya majaribio kutoka jijini Dar es Salaam mpaka Morogoro na kurudi leo Februari 26, 2024.
“Miundombinu ya treni ya umeme ni gharama kubwa ukilinganisha na ile ya inayotumia mafuta lakini kwenye gharama za uendeshaji wa treni ya mafuta ni mara tatu ukilinganisha na treni ya umeme,” amesema Kadogosa alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM.
Akizungumzia kuhusu nauli za abiria zitakazotumika, Kadogosa amesema shirika hilo limewasilisha mapendekezo yake kwa Latra yenye jukumu la kutangaza nauli hizo.
Ameongeza kuwa, upatikaaji wa mizigo mingi utachangia kupungua kwa nauli kwenye treni ya abiria na kufanya watu wengi wawe na uwezo wa kumudu bei za kupanda treni hiyo.
“Tunatarajia kupata fedha zaidi kwenye mizigo na ndio maana unaona tunajenga reli kwenda Msongati sababu kuna machimbo ya Nikel, tunakwenda kwa sababu tutapata mzigo kutoa kule na kupeleka bandarini. Upatikanaji wa mzigo ndio utatufanya tusiwe na bei kwenye treni ya abiria,” amesema.
Treni ya umeme ya abiria imefanya safari ya kwanza ya majaribio hii kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro huku ikitumia takribani saa nne kwenda na kurudi.
Lengo ni kushusha bei ya umeme toka NHPPAtupe maspecifikesheni ya hio treni tumkalukuletie hio gharama tuone kama kweli imefikia
Electric train 1
Economy: 1.6 kWh per 100 passenger-km (full), 0.016 kWh/p.km
Its not clear if this energy consumption is average or max power.
Economy: 4.4 kWh per 100 passenger-km (full), 0.044 kWh/p.km
High speed intercity train
Electric Economy: 3 kWh per 100 passenger-km (full), 0.03 kWh/p.km
Uongo vipi wakati treni lina mita ya umemeUmeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Wapinga vision ya magufuli ni wajinga sana .... Magufuli alikuwa jembe siyo huyu zuzu tuliyenaye sasa na mazuzu wa Chadema walio mpinga JPM kwenye kila kitu kuanzia treni hadi bwawa la umeme ... JPM alipanga kuwa bwawa la umeme likikamilika basi bei ya umeme iwe sh 1000 unit 5 kisha apige marufuku mikaa na kupambana na mafisadi wa gesi waliokuwa wanahujumu nchi kwa kuweka bei ya gesi juu mara 2 ya bei iliyo stahili kuuzwa nchini....kitendo cha kushusha bei ya umeme kwa kiwango hicho kinge amsha miji na vijiji kiuchumi na miji isinge lala maana umeme ungependezesha miji usiku siyo sasa hivi hadi jiji la dar magorofa yanazimwa umeme usiku na kuwa giza na kubakisha kitaa kimoja mlangoniHata na mimi siamini hii.
Kama ni kweli basi nauli isizidi Buku 5.
Nakazia [emoji23][emoji23][emoji23]Bongo watendaji wanashindana na wanasiasa kupiga mdomo. Fanya kazi watu wajionee wenyewe acha kampeni uchwara