Kistaaj
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 424
- 198
KumbeHee kumbe treni ina luku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeHee kumbe treni ina luku.
Wrong information, it is very much less your figure190km kwa masaa 5? Hata ile treni ya Escape from Sobibo haikuwa hivi
Je ukweli ni upi?Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Kama mkurugenzi anasema gharama ya nishati ni ndogo na lengo ni kupata pesa kupitia kubeba mizigo, kwanini usafiri huo kwa abiria usiwe bure kabisa au ukawa sawa na bure kabisa (labda buku) ili watanzania wengi wafaidi matunda ya kodi zao?
Bongo watendaji wanashindana na wanasiasa kupiga mdomo. Fanya kazi watu wajionee wenyewe acha kampeni uchwara
Basi mwambie Lema aje aropoke ukweliUmeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Ndio Treni yenu ya Speed feki Kutoka mjini Dar kwenda Morogoro na kutoka Morogoro kwenda Dar masaa 4 Duhhh kazi kweli ipo Si bora upande basi kuliko kupanda hiyo Treni?"kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro huku ikitumia takribani saa nne kwenda na kurudi"! Mbona sawa na kupanda basi la Shabibby.
Weka calculation ya energy consumption per km with all assumptions acha siasaHapo halikuwa na abiria kivile limekula umeme Ivo sasa ngoja liongeze mabehewa libebe na abiria uone umeme wake utakuwaje, bado linakula umeme Ilo kwa kuliangalia tu Kwanza lizito.
Usikute unajua train ni subwoofer!Mmh!!😯😯 bado Sana inakula umeme iyo.
Maana Kuna umeme wa 75 units shilingi 9,000/= na 28 units shilingi 10,000/=Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Treni mtumba inatumia umeme zaidi kwani vyuma vya magurudumu hutanuka kutokana na joto na msuguano na kusababisha nguvu zaidi kutumika ili itembee.Weka calculation ya energy consumption per km with all assumptions acha siasa
Na hicho ndicho wenzenu wanakitaka ili mpande mabasi yao, ndio maana hujuma zimeanza kwenye kuchelewesha mradi,wanahujumu kwenye kuweka nauli kubwa , na sasa watahujumu kwenye kuchelewesha muda ili ionekane halina tofauti kubwa na basi na baada ya hapo watahujumu miundombinu yake na kazi ya treni ya umeme itaishia hapo tutaendelea kupanda mabasi yao"Kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro huku ikitumia takribani saa nne kwenda na kurudi"! Mbona sawa na kupanda basi la Shabibby.
hata angetumia 500,000 akipakiza watu rundo hapo mbona hela itarudi nyingi sana? tumshukuru Mungu hata hiyo treni ya umeme ipo ndugu zangu, kuna nchi sisi kuwa na treni ya umeme wanaona kama tupo ulaya vile, hivihivi tulivyo.Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Tusingeweza kutoa maelezo hayo kutoka na hadhira.hayo mengine ataelezwa CAG kwa niaba yako na wengine, wewe tosheka na ulichoambiwa kwa Sasa.mwisho tutasikia imetumia umeme wa 560, ila watuambie limetumia unit ngapi? ama watuambie hizo pesa ni sawa na unit ngapi za umeme?. kichwa kilikuwa kinavuta behewa ngapi toka dar hadi moro?, kimetembea speed ngapi?, na unit za umeme kimetumia ngapi?, watuambie na unit moja ya umeme wa sgr ni kiasi gani?...tuone uhalisia upo wapi
Labda wameweka na ule muda wa abiria kuchimba dawa kwenye kila kituo. You never know."Kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro huku ikitumia takribani saa nne kwenda na kurudi"! Mbona sawa na kupanda basi la Shabibby.