Lamzettttt
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 1,218
- 3,481
Kwan ina luku?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni treni ya umeme na siyo ya mwendo kasi. Aah aah. Uwiii.Yaan Mimi kichwani kwangu nilikuwa nafikiria ...train ya umeme itakuwa na speed!! Labda 30min tuu mpaka Moro...
Kumbe inachukua muda hivyo.
chama cha kupinga watapinga
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) imetumia umeme wa Sh336,000 katika safari ya abiria ya majaribio kutoka jijini Dar es Salaam mpaka Morogoro na kurudi leo Februari 26, 2024.
“Miundombinu ya treni ya umeme ni gharama kubwa ukilinganisha na ile ya inayotumia mafuta lakini kwenye gharama za uendeshaji wa treni ya mafuta ni mara tatu ukilinganisha na treni ya umeme,” amesema Kadogosa alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM.
Akizungumzia kuhusu nauli za abiria zitakazotumika, Kadogosa amesema shirika hilo limewasilisha mapendekezo yake kwa Latra yenye jukumu la kutangaza nauli hizo.
Ameongeza kuwa, upatikaaji wa mizigo mingi utachangia kupungua kwa nauli kwenye treni ya abiria na kufanya watu wengi wawe na uwezo wa kumudu bei za kupanda treni hiyo.
“Tunatarajia kupata fedha zaidi kwenye mizigo na ndio maana unaona tunajenga reli kwenda Msongati sababu kuna machimbo ya Nikel, tunakwenda kwa sababu tutapata mzigo kutoa kule na kupeleka bandarini. Upatikanaji wa mzigo ndio utatufanya tusiwe na bei kwenye treni ya abiria,” amesema.
Treni ya umeme ya abiria imefanya safari ya kwanza ya majaribio hii kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro huku ikitumia takribani saa nne kwenda na kurudi.
Kumbe ni vitu viwili tofauti!!!Ni treni ya umeme na siyo ya mwendo kasi. Aah aah. Uwiii.
Msongati ni wapi?“Tunatarajia kupata fedha zaidi kwenye mizigo na ndio maana unaona tunajenga reli kwenda Msongati sababu kuna machimbo ya Nikel, tunakwenda kwa sababu tutapata mzigo kutoa kule na kupeleka bandarini. Upatikanaji wa mzigo ndio utatufanya tusiwe na bei kwenye treni ya abiria,” amesema.
Siku zijazo wawekezaji wajenge viwanda vya betri hapa nchini badala ya kuuza nje malighafi. Tukiendeleza udhaifu huo umasikini wetu hautakuwa na kikomo.Itakuwa inakwenda kubeba madini ya nickel..? Kwenda bandarini..!
Madini haya yanayotumika kut3ngeneza battery za gari za umeme..?
Umewahi kujiuliza kwanini sukari inayozalishwa Pakistan na kusafirishwa hadi Dar bei yake ni chini kuliko inayozalishwa Kilombero au viwanda vingine nchini?Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Machame ndani vijijini.Msongati ni wapi?
🤣🤣🤣Umeme wa wa 336,000Tzsh?.
Huu uongo huu .
Tunakosa tu viongozi wenye maono na nia dhabiti.Na hicho ndicho wenzenu wanakitaka ili mpande mabasi yao, ndio maana hujuma zimeanza kwenye kuchelewesha mradi,wanahujumu kwenye kuweka nauli kubwa , na sasa watahujumu kwenye kuchelewesha muda ili ionekane halina tofauti kubwa na basi na baada ya hapo watahujumu miundombinu yake na kazi ya treni ya umeme itaishia hapo tutaendelea kupanda mabasi yao
Hakuna kitu kibaya kama kuruhusu wafanya biashara kuwa viongozi na wenye maamuzi ndani nchi
Kitumie kichwa chako kufikiri.Yaan Mimi kichwani kwangu nilikuwa nafikiria ...train ya umeme itakuwa na speed!! Labda 30min tuu mpaka Moro...
Kumbe inachukua muda hivyo.
Hiki ndicho kiini cha matatizo yanayolikumba taifa letu kwasasa.Hakuna kitu kibaya kama kuruhusu wafanya biashara kuwa viongozi na wenye maamuzi ndani nchi
Hii ni for business only DK 3 inatosha kushusha na kupakia kwa Ivyo Vituo. Ukiweka hapo ni DK 30 kushusha na kupakia zinatosha Sana.Kitumie kichwa chako kufikiri.
Kati ya Dar mpaka Moro kuna vituo zaidi ya 10, na vituo vyote treni inasimama. Itatumia vipi hizo dk 30?!
Sikuwaza kuhusu vituo ..Kitumie kichwa chako kufikiri.
Kati ya Dar mpaka Moro kuna vituo zaidi ya 10, na vituo vyote treni inasimama. Itatumia vipi hizo dk 30?!
Maajabu huwa hayaishi huko kila mmoja na lakeKashusha gharama za umeme uliotumika, labda usiwe na uelewa na issue za motor ndio utakubali huo ujinga anaousema.
Ungejua mimi ninafanya issue gani usingesema kitu hicho nimekuambia treni lina mita kama za kenye gari tumia akili kama vipi google ujue treni zinatumia unit ngapi kwa 1km....mlio mpinga jpm mnaanza kuwewe seka baada ya kuona akilikubwa ya mzalendo kiuchumi hii ndiyo sababu nchi jirani zinazo zunguka tz kuachana na reli ya kenya na kuangalia kijiunga na ya tz hadi mchina wa kenya alivunjika moyo kwa sababu ya vision ya jpm siyo huyu kahaba anaye nunua saa 4 kila moja kanunua mil 200 na shanga za kiunoni za mil67 na vikuku na vupi vya halili vya sh mil 1 kila kimoja kana kwama hakivaa hivyo vitu hatokufa na kuoza kaburini ..... ukisikia msemo wa mazaa faka ndiyo huyu sasa ....stupid muisiharamuKashusha gharama za umeme uliotumika, labda usiwe na uelewa na issue za motor ndio utakubali huo ujinga anaousema.
Hii biashara ni kichaa kuanzia mwanzo. Hela zilizochozewa kwenye huu upuuzi, zingetumika kujenga barabara za lami nchi nzima; tungepiga hatua kubwa sana kama Taifa.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa amesema Treni ya Reli ya Kisasa (SGR) imetumia umeme wa Sh336,000 katika safari ya abiria ya majaribio kutoka jijini Dar es Salaam mpaka Morogoro na kurudi leo Februari 26, 2024.
“Miundombinu ya treni ya umeme ni gharama kubwa ukilinganisha na ile ya inayotumia mafuta lakini kwenye gharama za uendeshaji wa treni ya mafuta ni mara tatu ukilinganisha na treni ya umeme,” amesema Kadogosa alipokuwa akifanya mahojiano na Wasafi FM.
Akizungumzia kuhusu nauli za abiria zitakazotumika, Kadogosa amesema shirika hilo limewasilisha mapendekezo yake kwa Latra yenye jukumu la kutangaza nauli hizo.
Ameongeza kuwa, upatikaaji wa mizigo mingi utachangia kupungua kwa nauli kwenye treni ya abiria na kufanya watu wengi wawe na uwezo wa kumudu bei za kupanda treni hiyo.
“Tunatarajia kupata fedha zaidi kwenye mizigo na ndio maana unaona tunajenga reli kwenda Msongati sababu kuna machimbo ya Nikel, tunakwenda kwa sababu tutapata mzigo kutoa kule na kupeleka bandarini. Upatikanaji wa mzigo ndio utatufanya tusiwe na bei kwenye treni ya abiria,” amesema.
Treni ya umeme ya abiria imefanya safari ya kwanza ya majaribio hii kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro huku ikitumia takribani saa nne kwenda na kurudi.
Treni yenyewe wahuni wamenunua used, kwa malipo ya hela treni pya! And no one cares! Kila sehemu ni upigaji kwenye hii nchi.Yaan Mimi kichwani kwangu nilikuwa nafikiria ...train ya umeme itakuwa na speed!! Labda 30min tuu mpaka Moro...
Kumbe inachukua muda hivyo.