Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Ni nani ambaye sio Masalia ya huyu Mtu hata Wakubwa pale Juu si mazao yake?
Huwezi itofautisha serikali ya JPM na wote walioshika nyadhifa za juu maana yeye ndio aliwaweka pale.
Kiufupi Wachina ndio waliwaingiza mtaroni Kenya na gobole la dizel kwa kuwadanganya ni bei nafuu (dizeli wanaagiza nje ikipanda bei na nauli zinapanda bei) sisi mturuki alitushauri ya umeme ambayo pia hata dizeli unaweza tumia kwa pamoja.
Mchina ni shuawani sana amjui tu nendeni kwenye camp zao
Huwezi itofautisha serikali ya JPM na wote walioshika nyadhifa za juu maana yeye ndio aliwaweka pale.
Kiufupi Wachina ndio waliwaingiza mtaroni Kenya na gobole la dizel kwa kuwadanganya ni bei nafuu (dizeli wanaagiza nje ikipanda bei na nauli zinapanda bei) sisi mturuki alitushauri ya umeme ambayo pia hata dizeli unaweza tumia kwa pamoja.
Mchina ni shuawani sana amjui tu nendeni kwenye camp zao