Kadri joto la uchaguzi linavyopanda, sitashangaa kusikia watumishi wa Umma wenye madai mbalimbali wakianza kulipwa

Kadri joto la uchaguzi linavyopanda, sitashangaa kusikia watumishi wa Umma wenye madai mbalimbali wakianza kulipwa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.

Hivyo, katika kujaribu kupoza jambo hili, serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.

Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni (sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).

Wacha tusibiri.
 
Mbona hiyo ni habari njema sana au ulitaka mpate point ya kusema kuwa serekali ya JPM ni majizi? Mmebuma sasa
 
Hilo linawezekana. Watawawekea kwenye akaunti kimya kimya. CCM na rushwa ni kqma ndevu na kidevu
 
Sio watumishi tu, hata kuhusu ajira kama umesikia wamesema kupitia mh Jafo, kuwa wataajiri walimu 12,000.

Binafsi naona haitasaidia ili isaidie labda waajili.
walimu kuanzia 60,000.
Afya 40,000.
Kilimo na ufugaji 20,000. Nk

Maana wamewasaliti vijana miaka mitano(5), bila ajira, vijana na ndugu zao wana hasira na selikari ya CCM,

Na uzuri miaka inavozidi kwenda, vijiji vinatanuka, watu wanaelimika, wazee wasio na elimu wanafariki, wanabaki watu wenye awareness na consciousness. CCM watapata tabu sana, na uongozi wap wa kijimA.
 
Wafanyakazi wa serikali wana USONGO ingawa nao ni watu wa ajabu! Ngoja tuone
 
Awakumuke na wastaafu wa EAC
Walimkosea nini?
Mkapa aliwaahidi 417 bilioni akawapunja kwa kuwalipa nusu
 
Si kweli CCM Haitegemei kura za raia kuingia Ikulu tena. Laiti ingekuwa inategemea maamuzi ya box la kura naamini ingeongeza mishahara kwa watumishi, ingepandisha watumishi madaraja na ingelipa madeni yote kabla ya Octoba, ila kwa kuwa wanajua njia wanazotumia kuingia Ikulu naona hawana hofu kama watu wanavyodhani. Nawakumbusha tena wapinzani, kwa kutegemea sanduku la kura bila njia mbadala hata Watanzania wote wakiwapa kura hamuezi kuingia Ikulu kamwe.
 
Back
Top Bottom