Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ukijua hili wenzako wanajua lile, hata wale wanaowasaidia kucheza na electronic voters digits wanajulikana. Tukutane October.Si kweli CCM Haitegemei kura za raia kuingia Ikulu tena. Laiti ingekuwa inategemea maamuzi ya box la kura naamini ingeongeza mishahara kwa watumishi, ingepandisha watumishi madaraja na ingelipa madeni yote kabla ya Octoba, ila kwa kuwa wanajua njia wanazotumia kuingia Ikulu naona hawana hofu kama watu wanavyodhani. Nawakumbusha tena wapinzani, kwa kutegemea sanduku la kura bila njia mbadala hata Watanzania wote wakiwapa kura hamuezi kuingia Ikulu kamwe.