Kadri joto la uchaguzi linavyopanda, sitashangaa kusikia watumishi wa Umma wenye madai mbalimbali wakianza kulipwa

Kadri joto la uchaguzi linavyopanda, sitashangaa kusikia watumishi wa Umma wenye madai mbalimbali wakianza kulipwa

Watulipe tu maana nina kahela kakutoshea kununua kiwanja na kuweka msingi kabisa
 
Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.

Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.

Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).

Wacha tusibiri.

Kwanini wasilipwe?
 
Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.

Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.

Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).

Wacha tusibiri.
tena wazipokee hizo stahiki zao fasta, halafu October ni kichinjio kwa kwenda mbele!
 
Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.

Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.

Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).

Wacha tusibiri.

Tulipwe tu
 
Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.

Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.

Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).

Wacha tusibiri.
Vita vya panzi furaha ya kunguru.Hii ndio faida ya vyama vingi.
 
Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.

Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.

Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).

Wacha tusibiri.
Serikali imekuwa ikilipa madai ya watumishi yale YALIYOHAKIKIWA kila mwaka hivyo binafsi sioni jipya japo naamini kwa kuwa Raisi anamaliza kipindi chake cha miaka mitano, kasi inaweza kuongezeka
 
Mbona hiyo ni habari njema sana au ulitaka mpate point ya kusema kuwa serekali ya JPM ni majizi? Mmebuma sasa
Mbunge mteuliwa wa ccm bwana Kipanga hapa mafia pwani aliwapa wajumbe kila mmoja laki3. mbili kabla na moja baada ya matokeo kasha nisikie mtu analeta fyokofyoko. sijui chizi gani limepambana na rushwa hapo cmm. nyie na rushwa ni sawa na samaki na maji
 
Back
Top Bottom