EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Watulipe tu maana nina kahela kakutoshea kununua kiwanja na kuweka msingi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.
Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.
Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).
Wacha tusibiri.
Ukijua hili wenzako wanajua lile, hata wale wanaowasaidia kucheza na electronic voters digits wanajulikana. Tukutane October.
tena wazipokee hizo stahiki zao fasta, halafu October ni kichinjio kwa kwenda mbele!Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.
Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.
Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).
Wacha tusibiri.
Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.
Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.
Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).
Wacha tusibiri.
Vita vya panzi furaha ya kunguru.Hii ndio faida ya vyama vingi.Swala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.
Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.
Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).
Wacha tusibiri.
Serikali imekuwa ikilipa madai ya watumishi yale YALIYOHAKIKIWA kila mwaka hivyo binafsi sioni jipya japo naamini kwa kuwa Raisi anamaliza kipindi chake cha miaka mitano, kasi inaweza kuongezekaSwala la mishahara ya wafanyakazi na stahiki zao zingine wanazoidai serikali, ni moja ya mambo yanayopandisha joto la uchaguzi wa mwaka huu na ni wazi wapinzani wataitumia sana agenda hii katika mikutano yao ya kampeni na bila shaka jambo hili linakwenda kuwaweka katika nafasi ngumu sana CCM na mgombeo wao wa uraisi.
Hivyo,katika kujaribu kupoza jambo hili,serikali inaweza kuwalipa watumishi madai yao yote wakati wowote ule kuanzia sasa.
Tusisahau hata wakulima wa korosho waliokuwa wanadai malipo yao nao wametangaziwa kulipwa hela zao hivi karibuni(sijui kama wameshalipwa au bado ila ni habari iliyotoka kipindi hiki).
Wacha tusibiri.
Mbunge mteuliwa wa ccm bwana Kipanga hapa mafia pwani aliwapa wajumbe kila mmoja laki3. mbili kabla na moja baada ya matokeo kasha nisikie mtu analeta fyokofyoko. sijui chizi gani limepambana na rushwa hapo cmm. nyie na rushwa ni sawa na samaki na majiMbona hiyo ni habari njema sana au ulitaka mpate point ya kusema kuwa serekali ya JPM ni majizi? Mmebuma sasa