Kadri joto la uchaguzi linavyopanda, sitashangaa kusikia watumishi wa Umma wenye madai mbalimbali wakianza kulipwa

Ukijua hili wenzako wanajua lile, hata wale wanaowasaidia kucheza na electronic voters digits wanajulikana. Tukutane October.
 
Ghana pinzani haviwezi shinda uchaguzi TANZANIA kwa kupiga kura, watafute njia mbadala!!
 
Basi hats wakalipa madai na kupandisha mishahara kwa wafanyakazi hao CCM hawafai kubaki madarakati. Kama pesa ni haki yao wananchi kwann wadhindwe kulipa kwa wakati hali ya kuwa pesa zipo..Inamaana hizi pesa zinapatikana kilindi cha uchaguzi tu/kampeni tu.. Tushachoka na hizi mambo, maana washatuna sie watoto wadogo kiss tumewakabidhi hii dhamana.

Wafahamu kuwa wao si chochote hzo mali/mapesa yote sio yakwao kama wananchi wana stahiki zao basi wapewe bila lolongo
 
Wamekwisha chelewa Treni ya Mabadiliko imekwishaondoka. Magufuli atashangazwa mpaka na wateule wake akina Simon Sirro na Mabeho watakapo mgeuka.

Nguvu ya UMMA ndiyo inamtaka Tundu Lissu
 
Ataongeza malaki si vi elfuuuu kabla ya kuondoka madarakani
 
Tamisemi wako na timu yake Hulu kagera kukagua madeni na malimbikizo ya walimu.Watumishi mungu atupe nguvu uvumilivu umetuishia tusubiri tu October 28,tufanye yeti moyoni
 
Rushwa..

Jr[emoji769]
 
Mbona hiyo ni habari njema sana au ulitaka mpate point ya kusema kuwa serekali ya JPM ni majizi? Mmebuma sasa
Hata mkilipa siku moja kabla ya uchaguzi lazima tuwashughulikie, hamwezi kutuweka pending miaka mitano yote!
 
Ishakula kwake sidhani kama kuna mwanafunzi wa chuo au mfanyakazi wa umma atakayempigia kura JIWE labda JWTZ/TEETH/PCCB ambao wao wanaongezewa.
 
Wakilipi
Mbona hiyo ni habari njema sana au ulitaka mpate point ya kusema kuwa serekali ya JPM ni majizi? Mmebuma sasa
Ni mtu mjinga tu ambaye umnyanyase miaka minne uje kumboreshea maslahi mwaka wa uchaguzi. Watumishi wa umma washamjua kuwa hawajali hata akifanya nini mwaka huu
 
Story hizo,watu wamejipanga,acheni hofu,hatua ya kwanza ni kupiga kura zihesabiwe mengine ndo yatafata,na sio kuanza kukata tamaa kwanza
 
Wakilipi

Ni mtu mjinga tu ambaye umnyanyase miaka minne uje kumboreshea maslahi mwaka wa uchaguzi. Watumishi wa umma washamjua kuwa hawajali hata akifanya nini mwaka huu
Nafasi pekee ya kumuwajibisha ni October,
 
Kwa kuwa zitakuwa makaratasi wala sio pesa au?? Serekali hii sio weziiii full stop

Mlamu, hebu tupe tafsiri yako ya ‘wezi’.

Hivi kumbe kuna wenye korosho bado hawajalipwa!!!
 
Miaka yote ya kukaribia na uchaguzi ccm huwa wanalipa malimbikizo ya wafanyakazi, ni jiwe ujeuri wake tu kwa vile anaamini atatumia jeshi polisi, tiss kupora ushindi, hivyo hajari kitu, ndio maana hata kupandisha mshahara hataki, simply NEC watamuibia kura na kuchakachua matokeo.
 
mm sijui kama itasaidia sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…