Kafanya usaliti anahitaji msaada wenu

Mwanamke mzuri ni mama tu aliyekuzaa ambaye na yeye atakua na shida na baba..ziwapendi sana wanawake washenzi,alishindwa kuamua kabla ya kujilidhisha kama kweli jamaa atafungwa kwa muda mrefu?yani ushauli wa wazi hapo asubili kujibeba mwenyewe kwa lolote lile,mshenzi huyo
 
Jabakeke mwanamke asyeweza kuvumilia tendo la ndoa hawez kuvumilia jambo lolote, kwanza hata mwaka ulikuwa haujafka, pili walikuwa kwenye rufaa, sasa badala ya kuwa busy na rufaa na kumwombea mume ili atoke, yeye anawaza ngono, si umalaya huo.
Kimsingi hilo ni limwanamke lipumbavu sana na usikute ndilo lilioandika hapa likijifanya limeombwa ushauli nalo likaja jf,jinga sana
 
Kimsingi hilo ni limwanamke lipumbavu sana na usikute ndilo lilioandika hapa likijifanya limeombwa ushauli nalo likaja jf,jinga sana
Upumbavu wake ni upi haswa?
 
Nilikuuliza huyo rafiki yako alikua na mipango gani, kuzaa tuu au kuishi pamoja?

Hakutarajia kama rufaa aliyokata mumewe itazaa matunda,alishakata tamaa kabisa
 
Akafanikiwa kutoa hiyo mimba n asiwe na uwezo mwingine was kubeba tena itakuaje na huyo alie kua jela alikua n mimba katoa unahis uamuz gan atachukua
 
duuuh watu mnahatariii
 
Hivi nyie mnaoshauri atoe mimba, kwan hadhira haijaona hiyo mimba ?? si hata akitoa huyo bwan mkubwa atakuja tu kupewa taarifa?? yote kwa yote wakuu tuendelee kujifunza hawa wanawake sio wenzetu! naamin kila siku alikuwa ana sali jamaa afungwe!!
 
Hivi nyie mnaoshauri atoe mimba, kwan hadhira haijaona hiyo mimba ?? si hata akitoa huyo bwan mkubwa atakuja tu kupewa taarifa?? yote kwa yote wakuu tuendelee kujifunza hawa wanawake sio wenzetu! naamin kila siku alikuwa ana sali jamaa afungwe!!
Haijaona,wa kumpa taarifa mjelejela hayupo
 
ACTION=REACTION
CAUSE=CONSEQUENCES
 
Mim nashauri azae tu mengine yatafata inaeleweka alichukua uamuzi wa kupata mwanaume mana nae ni binadamu anahisia na kikubwa alifanya hvo akijua matumain ya mmewe kutoka ni madogo
 
Zinaa haijawahi kumuacha mtu salama...
 
Umalaya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…