Kafulila amechezea shilingi chooni imedumbukia sasa amerudia tena kutafuta teuzi kijanja janja!

Kafulila amechezea shilingi chooni imedumbukia sasa amerudia tena kutafuta teuzi kijanja janja!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
 
Tumbili ana gundu sana.
Ndio mwanasiasa wa kwanza kufukuzwa CHADEMA. Nakumbuka alifukuzwa na Dr.Slaa.


Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Refresh kumbukumbu zako mjomba

Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema

Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini

Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Anajifanya anakila bogus and very stupid person indeed
 
Kwa umri alionao kafulila.. cv yake kisiasa , kuwa chama tawala, na kuwa chama tawala lazima tukubali sio mwenzetu.

Ogopa sana mtu anaejuana na wafanya maamuzi wa nchi hii zaidi ya 70%

Nitakuja kukukumbusha tu.. lazima utasikia kapewa kitengo sehemu..

Haiwezekani ukutane na kafulila kwenye usahili wa kazi za graduates
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Badala ya kumuunga mkono mke ili afanikiwe yeye kutwa kusugua makalio ya wakubwa ilibateuliwe
 
Back
Top Bottom