Kafulila amechezea shilingi chooni imedumbukia sasa amerudia tena kutafuta teuzi kijanja janja!

Kafulila amechezea shilingi chooni imedumbukia sasa amerudia tena kutafuta teuzi kijanja janja!

Refresh kumbukumbu zako mjomba

Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema

Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini

Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Unajua kusoma kweli?
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa kweli Yohana Mbatizaji umesema ukweli. Hongera sana.
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Ngedere kwisha habari yake
FB_IMG_1598628778339.jpg
 
Back
Top Bottom