Kafulila amechezea shilingi chooni imedumbukia sasa amerudia tena kutafuta teuzi kijanja janja!

Kafulila amechezea shilingi chooni imedumbukia sasa amerudia tena kutafuta teuzi kijanja janja!

Refresh kumbukumbu zako mjomba

Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema

Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini

Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Wilbroad Slaa alilazimishwa kujitoa na mchumba wake Josephine
 
Yule mchora mawe hana chake!!
Uchaguzi wa 2015 margin ya ushindi ya Mwigulu haikuwa kubwa hivyo.

Sasa hivi Jesca anaonekana kuwa na nguvu kubwa sana tunatarajia kuona Mwigulu akitema jimbo hasa mbeba maono atakapopita jimbo hilo.
 
Wilbroad Slaa alilazimishwa kujitoa na mchumba wake Josephine
Mze umenikumbusha

Mushumbusi wa watu alimwaga damu na kula kichapo heavy alipokua na mkewe wakati wakiandamana pale uwanjani wakati mumewe akijaribu kumtaja lowasa kwenye list of shame

Daah wafipa hamna utu mlikuja kumtakasa lowasa mkamtambulisha kwa makamanda kama a New SAINT

Shame upon you niggaz!
 
Refresh kumbukumbu zako mjomba

Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema

Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini

Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Lowasa yuko wapi kwani?
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!

hivi si bado ni Ded sijuhi mkuu wa wilaya au ?
 
Refresh kumbukumbu zako mjomba

Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema

Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini

Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
kwani uliyem- quote kasema Dr alifukuzwa?.
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Apishana na uteuzi. Anayetaka ampatie uraisi anastaafishwa kwa kura
 
Refresh kumbukumbu zako mjomba

Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema

Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini

Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Hujaelewa mkuu... Yaani aliyemfukuza ni Dr. Slaa
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!

Sasa huyo kapoteza sindano mchana, akaitafuta hakuiona. Sasa anaitafuta gizani ndo ataiona?
 
Chama Cha mapinduzi kumpa idhini Kafulila kwenda kwenye kipindi Cha dakika 45 Cha Itv ni kukosa watetezi?

Kwanini makada wote wamenyamazishwa au ndo mwendo wageni kutawala Hadi chumbani?

Ngoja tumsikilize
 
MATAGA ndo wanaokubalika kwenye CCM mpya.

Akina January Makamba, Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba hawana chao.
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!
Jpm kamwambia huwezi kumpinga Mpango ukapata teuzi yangu
 
Refresh kumbukumbu zako mjomba

Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema

Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini

Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Umekurupuka.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.

Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.

Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.

Maendeleo hayana vyama!

Jaji Werema aliwahi kumwita Kafulila "Tumbili"
RAS wa Mkoa ni cheo sawa na Katibu Mkuu wa Wizara kwa taratibu za ajira serikalini
Unaacha cheo cha kitaalam ambacho umepewa kwa huruma anaenda kutafuta ubunge ili ukipata uteuliwe naibu waziri
Kwa mwanasiasa yeyote TIMING ni kitu muhimu sana kwenye maamuzi yoyote. Kwa wote walioangukia pua walikosea timing
 
Back
Top Bottom