Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo hujamwelewa kabisa.Refresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
We kiazi umekurupukRefresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Bange mbaya ndugu yangu,we hapo unajibu nini,na mwenzio alisema nini?Refresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
HujaelewaRefresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Bwana yule ana mwezi mmoja umebaki akabidhi ikulu.Na atafanikiwa kuteuliwa tu Bwana yule akipitishwa.
Kikubwa amuimbie tu mapambio na kumpa nafasi ya mungu.
Kafulila haoni hata sababu ya kwenda kumpigia kampeni mke wake ?Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.
Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
Kafulila hamuwezi Dr Mwigullu Nchemba kwenye uwanja wa siasa!Kafulila haoni hata sababu ya kwenda kumpigia kampeni mke wake ?
Mbona yule Jesca Kishoa anamkimbiza Mwigulu kama mtoto mdogo.Kafulila hamuwezi Dr Mwigullu Nchemba kwenye uwanja wa siasa!
Au anaogopa kumpigia kampeni mke wake atakosa uteuzi ?Kafulila hamuwezi Dr Mwigullu Nchemba kwenye uwanja wa siasa!
njaa usipokuwa mwangalifu nayo huwa ina tabia ya kuvuruga vitu vingi mno kimaisha.Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.
Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu Yohana wa kuwabatiza, sijaona shida iko wapi kakaUnajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.
Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
Yule mchora mawe hana chake!!Mbona yule Jesca Kishoa anamkimbiza Mwigulu kama mtoto mdogo.
Jesca Kishoa ni zaidi ya kina Kafulila wawili ?
Yohana hana lolote, sijui kamfanya nini kafulila hadi leo kumfanyizia hivi wakati ni kada mwenzake pale Lumumba!! asbh jioni wapo wote.Mkuu Yohana wa kuwapatia, sijaona shida iko wapi kaka
umeelewa alichokiandika huyo au kiherehere cha kucomentRefresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Jesca anamsindikiza tu Mwigullu Nchemba!Mbona yule Jesca Kishoa anamkimbiza Mwigulu kama mtoto mdogo.
Jesca Kishoa ni zaidi ya kina Kafulila wawili ?
Mbona anamfanyia figisu nyingi namna hiyo kama anamsindikiza tu ?Jesca anamsindikiza tu Mwigullu Nchemba!