Kafulila amechezea shilingi chooni imedumbukia sasa amerudia tena kutafuta teuzi kijanja janja!

Wewe ndo hujamwelewa kabisa.
 
We kiazi umekurupuk
 
Bange mbaya ndugu yangu,we hapo unajibu nini,na mwenzio alisema nini?

Hebu soma tena
 
Hujaelewa
 
Kafulila haoni hata sababu ya kwenda kumpigia kampeni mke wake ?
 
Kafulila upo njema, jana nimekuona umepiga travolta OG. ha ha ha
 
njaa usipokuwa mwangalifu nayo huwa ina tabia ya kuvuruga vitu vingi mno kimaisha.
 
Mkuu Yohana wa kuwabatiza, sijaona shida iko wapi kaka
 
Mkuu Yohana wa kuwapatia, sijaona shida iko wapi kaka
Yohana hana lolote, sijui kamfanya nini kafulila hadi leo kumfanyizia hivi wakati ni kada mwenzake pale Lumumba!! asbh jioni wapo wote.
 
umeelewa alichokiandika huyo au kiherehere cha kucoment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…