Wilbroad Slaa alilazimishwa kujitoa na mchumba wake JosephineRefresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Uchaguzi wa 2015 margin ya ushindi ya Mwigulu haikuwa kubwa hivyo.Yule mchora mawe hana chake!!
Mze umenikumbushaWilbroad Slaa alilazimishwa kujitoa na mchumba wake Josephine
Lowasa yuko wapi kwani?Refresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.
Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
kwani uliyem- quote kasema Dr alifukuzwa?.Refresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Apishana na uteuzi. Anayetaka ampatie uraisi anastaafishwa kwa kuraUnajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.
Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
Amewapita tobo, kudadadeki!Lowasa yuko wapi kwani?
Hujaelewa mkuu... Yaani aliyemfukuza ni Dr. SlaaRefresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Hujaelewa mkuu... Yaani aliyemfukuza ni Dr. Slaa
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.
Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
Jpm kamwambia huwezi kumpinga Mpango ukapata teuzi yanguUnajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.
Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!
Kafulila alikuwa kwa Husna Mwilima!Jpm kamwambia huwezi kumpinga Mpango ukapata teuzi yangu
AG mwilimaHivi ni nani?
Umekurupuka.Refresh kumbukumbu zako mjomba
Daktari slaa hajawahi kufukuzwa chadema
Ajijiondoa mwenyewe baada ya chadema yenyewe kunajisi kile inachokiamini
Hii ilitokea pale viongozi waandamizi wa chadema walipojivua akili na kumsafisha mtu waliyemchafua wenyewe :Edward Nguyai Lowasa
Unajua mtoto akishashiba halafu akiwa na hela mkononi anaweza kuichezea hata awapo chooni na ikidumbukia ndio akili zinamkaa sawa.
Kesho David Kafulila atakuwa ITV katika kipindi cha Dakika 45 ambapo amealikwa kama mchambuzi wa maswala ya siasa kuzungumzia uchaguzi mkuu.
Ikumbukwe kuwa mke wa Kafulila Mrs Jesca Kafulila anagombea ubunge huko Iramba mkoani Singida kwa tiketi ya CHADEMA.
Maendeleo hayana vyama!