Sio hilo yako mengineKafulila kama kweli hiki ndicho kimekuwa dosari kwenye uongozi Watanzania tunakuombea sana ili Karma isimame na Waovu wote waliofanya fitna kwako. Cheo ni dhamana, kubali matokeo Songambele!
Hii umeiokota wapi mkuu 'sexless,.' Uungwana ni ku'attribute' chanzo, pamoja na kwamba imewekewa mabano."wasioshughulikiwa" kule Simiyu. Wajanja tunasema "Kafulila kagusa waya"
Hayo mambo ndio yanayofanya nchi iwe na matatizo kibaoKafulila amewashughulikia "wasioshughulikiwa" kule Simiyu. Wajanja tunasema "Kafulila kagusa waya".
Ukiwa mkuu wa mkoa zama hizi haimaanishi kuwa wewe mkubwa kuliko watu wote mkoani na ofisini kwako. Afisa wa ngazi ya chini ukiona anakula rushwa ama ana kiburi lazima uniulize mara mbili kiburi chake kinatoka wapi? Salama yako ni kumootezea na siyo kumshughulikia.
Hizo zinakuwa channel za wanachukua chako mapema 🚶Hayo mambo ndio yanayofanya nchi iwe na matatizo kibao
Nahisi kuna jambo liko chini ya carpet anajua aliyemweka na kumwondoa ....never give up bro,ESCROW bado inawasumbua vichwa nahisi .......wazalendo hawajawahi kupendwa Duniani .........Mafisadi wapo Chama gani mbona unajipaka kinyesi
huyo jamaa ni mwehu na mwendazimu achana nayeKwani aliyemtengua ni CHADEMA? Kama mamlaka za uteuzi haikuona manufaa yake kwa watu wa Simiyu, CHADEMA wanaingiaje??
Kuna chama chenye wehu Kama chadema?huyo jamaa ni mwehu na mwendazimu achana naye
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila aliwahi kuulizwa na Ayo Tv siku chache zilizopita kuwa haoni anahatarisha nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kwa uamuzi wake wa kumnyang'anya soko la madini lililokuwa likiendeshwa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu (MNEC), Gungu Silanga.
"Ni kweli soko lilikuwa linamilikiwa na Mr Gungu Mnec wetu lakini haijalishi mtu ana nafasi gani kwenye chama lakini inapokuja suala la usimamizi wa sheria lakini watu wote tufuate sheria kwani masoko ya madini kisheria ni mali ya Serikali"
Sio tuu huyu bali kuna wale wapigaji wa kwenye pamba na wale wachina..Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila aliwahi kuulizwa na Ayo Tv siku chache zilizopita kuwa haoni anahatarisha nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kwa uamuzi wake wa kumnyang'anya soko la madini lililokuwa likiendeshwa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu (MNEC), Gungu Silanga.
"Ni kweli soko lilikuwa linamilikiwa na Mr Gungu Mnec wetu lakini haijalishi mtu ana nafasi gani kwenye chama lakini inapokuja suala la usimamizi wa sheria lakini watu wote tufuate sheria kwani masoko ya madini kisheria ni mali ya Serikali"
Ni kile ambacho mkuu wa nchi anafariki lakini chenyewe hakijui hata Katiba inasemaje tukio kama hilo likitokea inatakiwa iweje.Kuna chama chenye wehu Kama chadema?
na wewe ndio walewale , kama mwenyekiti wenu marehemu alishakiri kwamba yeye ni kichaa naweza kuamini vichaa wenzake kama wewe ndio walimpitisha kugombea uraisKuna chama chenye wehu Kama chadema?
DaahWewe ni mshenzi.
Chadema ndio imeshika dola?.
Kama siyo drs la 7 , basi wewe ni mchawi.