Kafulila amnyang'anya soko la Madini MNEC Simiyu

Kafulila amnyang'anya soko la Madini MNEC Simiyu

saidoo25

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
624
Reaction score
1,456
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila aliwahi kuulizwa na Ayo Tv siku chache zilizopita kuwa haoni anahatarisha nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kwa uamuzi wake wa kumnyang'anya soko la madini lililokuwa likiendeshwa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu (MNEC), Gungu Silanga.

"Ni kweli soko lilikuwa linamilikiwa na Mr Gungu Mnec wetu lakini haijalishi mtu ana nafasi gani kwenye chama lakini inapokuja suala la usimamizi wa sheria lakini watu wote tufuate sheria kwani masoko ya madini kisheria ni mali ya Serikali"

 
Kafulila kama kweli hiki ndicho kimekuwa dosari kwenye uongozi Watanzania tunakuombea sana ili Karma isimame na Waovu wote waliofanya fitna kwako. Cheo ni dhamana, kubali matokeo Songambele!
 
Kafulila kama kweli hiki ndicho kimekuwa dosari kwenye uongozi Watanzania tunakuombea sana ili Karma isimame na Waovu wote waliofanya fitna kwako. Cheo ni dhamana, kubali matokeo Songambele!
Sio hilo yako mengine
 
Kafulila amewashughulikia "wasioshughulikiwa" kule Simiyu. Wajanja tunasema "Kafulila kagusa waya".

Ukiwa mkuu wa mkoa zama hizi haimaanishi kuwa wewe mkubwa kuliko watu wote mkoani na ofisini kwako. Afisa wa ngazi ya chini ukiona anakula rushwa ama ana kiburi lazima uniulize mara mbili kiburi chake kinatoka wapi? Salama yako ni kumootezea na siyo kumshughulikia.
 
"wasioshughulikiwa" kule Simiyu. Wajanja tunasema "Kafulila kagusa waya"
Hii umeiokota wapi mkuu 'sexless,.' Uungwana ni ku'attribute' chanzo, pamoja na kwamba imewekewa mabano.

Lakini ukweli wenyewe ndio huo. Kafulila alijisahau na kudhani yeye ataonekana kiongozi wa maana, kumbe anajimaliza mwenyewe.
 
Kafulila amewashughulikia "wasioshughulikiwa" kule Simiyu. Wajanja tunasema "Kafulila kagusa waya".

Ukiwa mkuu wa mkoa zama hizi haimaanishi kuwa wewe mkubwa kuliko watu wote mkoani na ofisini kwako. Afisa wa ngazi ya chini ukiona anakula rushwa ama ana kiburi lazima uniulize mara mbili kiburi chake kinatoka wapi? Salama yako ni kumootezea na siyo kumshughulikia.
Hayo mambo ndio yanayofanya nchi iwe na matatizo kibao
 
Acha undezi,kipi yupo mtetezi wa Chama cha majambazi,a.k.a chukua chako mapema /ccm)
 
Mafisadi wapo Chama gani mbona unajipaka kinyesi
Nahisi kuna jambo liko chini ya carpet anajua aliyemweka na kumwondoa ....never give up bro,ESCROW bado inawasumbua vichwa nahisi .......wazalendo hawajawahi kupendwa Duniani .........
 
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila aliwahi kuulizwa na Ayo Tv siku chache zilizopita kuwa haoni anahatarisha nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kwa uamuzi wake wa kumnyang'anya soko la madini lililokuwa likiendeshwa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu (MNEC), Gungu Silanga.

"Ni kweli soko lilikuwa linamilikiwa na Mr Gungu Mnec wetu lakini haijalishi mtu ana nafasi gani kwenye chama lakini inapokuja suala la usimamizi wa sheria lakini watu wote tufuate sheria kwani masoko ya madini kisheria ni mali ya Serikali"


 
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila aliwahi kuulizwa na Ayo Tv siku chache zilizopita kuwa haoni anahatarisha nafasi yake ya ukuu wa Mkoa kwa uamuzi wake wa kumnyang'anya soko la madini lililokuwa likiendeshwa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Simiyu (MNEC), Gungu Silanga.

"Ni kweli soko lilikuwa linamilikiwa na Mr Gungu Mnec wetu lakini haijalishi mtu ana nafasi gani kwenye chama lakini inapokuja suala la usimamizi wa sheria lakini watu wote tufuate sheria kwani masoko ya madini kisheria ni mali ya Serikali"


Sio tuu huyu bali kuna wale wapigaji wa kwenye pamba na wale wachina..

Kiufupi Kafulila ametolewa kwa fitina kwa sababu Kwa CCM Upigaji ni utamaduni wao na wanatumia hizo pesa kujihakikishia wanaendelea kuwepo madarakani..

Sasa ukija na gia za kiupinzani na uanaharakati ndio shida hiyo inakukuta..
 
Back
Top Bottom