Ujiji777
Senior Member
- May 29, 2024
- 169
- 58
Kafulila ni yupi hapa?Kafulila hii unajibu umepost tu ili post yako i trend na jina lako li trend tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafulila ni yupi hapa?Kafulila hii unajibu umepost tu ili post yako i trend na jina lako li trend tu
Hiyo Mwegawatt 4 k ilifija lini? Acheni uzindukaye, nchi ina 1.6k Mega watt na hitaji toshelezi ni 2.6+k MW===
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika Kipindi Cha One on One Cha Wasafi TV amesema Tanzania katika miaka 25 ijayo inatarajia kujenga Uchumi mkubwa karibu mara mbili ya Uchumi wote wa Africa ya Kusini ya Leo.
Kafulila anaendelea kwa kusema kama Africa ya Kusini ya leo Wana Umeme unaofikia Megawatt 60,000 huku sisi tukitarajia kujenga Uchumi marambili ya Uchumi huo wa Africa Kusini leo maana yake lazima tuwe na Umeme unaozidi umeme wa Africa ya Kusini ya leo ambao ni zaidi ya Megawatt 60,000.
Swali tunaloweza kujiuliza kwa pamoja, ni Je, bila kushirikisha mitaji na Ujuzi toka sekta binafsi PPP Tanzania kwa kutumia Kodi na Mikopo pekee tunaweza kufikia kumiliki umeme wa Megawatt zaidi ya 60 ifikapo mwaka 2050 Jibu ni "HAPANA" lazima PPP ichukue nafasi kwenye hili kwa manufaa ya kizazi hiki na manufaa ya kizazi kijacho.
View attachment 3202423
====
Watanzania hawawapendi wale wasomi wenye ubunifu vichwani wanaishia kuwapiga vipapai.Huyu Kafulila mbona anawaza tofauti kabisa na viongozi wengine wa Serikali hii!!!!!!
Kafulila anakitu Cha ziada TISS mzingatieni huyu jamaa atawafaa sana huko mbeleni
Unajua ukubwa wa rasilimali zilizopo katika ardhi ya Tanzania ambazo bado hazijatumika?. Punguza unyonge wa kujidharau.Katika waongo wabobezi Kafulila yumo
Hivi sisi tawaweza jenga uchumi.mkubwa mara mbili kuliko wa Africa ya kusini kuhitaji umeme mara mbili ya wa Afrika ya kusini?
Uchumi wa Africa kusini ndio mkubwa kwa bara zima la Africa ns sababu uchumi wao ni wa viwanda vikubwa na wamiliki wa hivyo viwanda vikubwa ni wazungu sio waafrika
Makampuni kibao ya ulaya na marekani wana partnerships ns wazungu wa Africa ya kusini na ku export sana Ulaya na Marekani nk
Sisi hapa tuna uchumi gani wa kuizidi Africa kusini ? Huu wa kutegemea viwanda vya Sido vya wahindi,waarabu na wachina? Hadi tuhitaji umeme mara mbili ya wa kwao
Kafulila kaamua kuwa dalali kwa kujenga hata hoja zisizo na akili kabisa
Mimi namwona kama dalali wa rasilimali za nchi..simwekewiAnaweza tofauti kivipi?
Waweza linganisha na Afrika ya kusini kwenye raslimali chini ya ardhi?Unajua ukubwa wa rasilimali zilizopo katika ardhi ya Tanzania ambazo bado hazijatumika?. Punguza unyonge wa kujidharau.
Kwa jpm ndo mapambio ilikuwa kanuni. Ukiamua kumosoa tu unapotezwa mazima. Ili u exist ilikuwa lazima usifieKipindi cha JPM , hatukuzoa mapambio !
Sasa mapambio ni Sala ya Kila siku
Tupunguze kujidharau, Tanzania tajiri sana katika suala la rasilimali.Waweza linganisha na Afrika ya kusini kwenye raslimali chini ya ardhi?
Naona Sasa uko kimyaaaaNzuri kupita kiasi, sio yeye tu, hadi mke wake yuko vizuri.
Nadhani mfanye pia review ya bei ya umeme wa Tanzània kwani ni kubwa===
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika Kipindi Cha One on One Cha Wasafi TV amesema Tanzania katika miaka 25 ijayo inatarajia kujenga Uchumi mkubwa karibu mara mbili ya Uchumi wote wa Africa ya Kusini ya Leo.
Kafulila anaendelea kwa kusema kama Africa ya Kusini ya leo Wana Umeme unaofikia Megawatt 60,000 huku sisi tukitarajia kujenga Uchumi marambili ya Uchumi huo wa Africa Kusini leo maana yake lazima tuwe na Umeme unaozidi umeme wa Africa ya Kusini ya leo ambao ni zaidi ya Megawatt 60,000.
Swali tunaloweza kujiuliza kwa pamoja, ni Je, bila kushirikisha mitaji na Ujuzi toka sekta binafsi PPP Tanzania kwa kutumia Kodi na Mikopo pekee tunaweza kufikia kumiliki umeme wa Megawatt zaidi ya 60 ifikapo mwaka 2050 Jibu ni "HAPANA" lazima PPP ichukue nafasi kwenye hili kwa manufaa ya kizazi hiki na manufaa ya kizazi kijacho.
View attachment 3202423
====
Gharama za Uendeshaji pia ni kubwaNadhani mfanye pia review ya bei ya umeme wa Tanzània kwani ni kubwa
SawaSoma Tena uelewe vizuri. Muwekeza auwawekezaji wanatakiwa wajenge mitambo yao kuziba Hilo pengo la upungufu wa Mega watt 56 elfu.
Yaani Leo tunazo negawat 4 elf wawekezaji wajenge megawatt 56 elf zifikie jumla ya megawatt 60 elf
NailedMkuu wapi Kafulila kasema miaka 25 ijayo Africa ya Kusini itakuwa hapohapo?
Unapofanya projection lazima uwe na mifano inayoishi,
Ndicho alichofanya Kafulila
SawaSoma Tena uelewe vizuri. Muwekeza auwawekezaji wanatakiwa wajenge mitambo yao kuziba Hilo pengo la upungufu wa Mega watt 56 elfu.
Yaani Leo tunazo negawat 4 elf wawekezaji wajenge megawatt 56 elf zifikie jumla ya megawatt 60 elf
Sijui kama unajuaNzuri kupita kiasi, sio yeye tu, hadi mke wake yuko vizuri.
Muda utaamua mtu unayemtakaHuyu kwanini asigombee tu Urais mbona hakili anayo kabisa
Ndio maana tutauza nje umemeMegawatt 4K🥺🥺🥺🥺😳😳
Sahihi kabisaWaruhusu unanzishwaji wa kampuni shindani, Tanesco imedumaa ichangamshwe.