Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Dodoma. Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila jana aliibua tuhuma nzito bungeni akiwahusisha mawaziri wawili na Sh200 bilioni zilichotwa katika Akaunti ya Escrow, iliyokuwa inamilikiwa kwa pamoja kati ya Tanesco na Kampuni ya kufua umeme ya IPTL.
Katika tuhuma hizo, alimuunganisha pia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na vigogo wengine, wakiwamo wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na wa Serikali, wote akiwataja tu kwa vyeo bila majina.
Mawaziri waliotajwa ni Waziri wa Nishati na Madini, Waziri wa Fedha na Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).
Ingawa Kafulila hakutaja kwa majina, Waziri wa Nishati ni Profesa Sospeter Muhongo, wa Fedha ni Saada Mkuya, Katibu Mkuu wa wizara hiyo (Nishati) ni Eliakim Maswi na AG ni Frederick Werema.
Kafulila alitoa tuhuma hizo bungeni alipokuwa akichangia hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2014/15.
Mbunge huyo alisema fedha zilizoibwa katika Akaunti ya Escrow ni nyingi kuliko zile zilizoibwa katika kashfa ya Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya BoT mwaka 2005.
"Pamoja na hilo, Watanzania wamekuwa wakisikia kwenye vyombo vya habari kwamba Tanesco wakati ilipokuwa na mgogoro na IPTL walifika mahali wakafungua akaunti ya Escrow," alisema.
Mbunge huyo alisema akaunti hiyo ilifunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), mwaka 2004 na hadi jana, akaunti ile ilishafikia Dola za Marekani 122 milioni," alisema Kafulila.
Alisema fedha hizo ziliwekwa kwa lengo maalumu kutokana na mgogoro uliokuwapo kati ya IPTL na Tanesco ili ziweze kusaidia malipo baada ya mgogoro kuisha katika Baraza la Usuluhishi wa Kibiashara la ISCID.
Alitaka jambo hilo liingie kwenye rekodi kwa kuwa linahusu BoT na vigogo akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Nishati na Madini pamoja na Katibu wake na pia Waziri wa Fedha.
Alisema wakati Tanesco ikidaiwa madeni zaidi ya Sh400 bilioni, viongozi hao wameidhinisha kugawanywa kwa fedha hizo kihuni jambo alilosema halivumiliki hata kidogo.
Kafulila alisema fedha hizo zilichotwa na Kampuni ya PAP aliyosema ya "Singasinga na ya kitapeli" ambayo iliidhinishiwa kuchota fedha hizo kinyume na utaratibu. Alisema fedha hizo hazikupaswa kuchukuliwa kwa
kuwa kulifanyika udanganyifu mkubwa kwamba PAP ilikuwa imenunua IPTL wakati jambo hilo si la kweli.
Alisema IPTL ilikuwa na makubaliano ya kufanya kazi kwa kampuni mbili ambazo ni VIP Engineering ya Tanzania iliyokuwa na hisa asilimia 30 na Mecmer ambayo ilikuwa na asilimia 70 ya hisa.
Hata hivyo, alidai kuwa anao ushahidi kuwa PAP ilikuwa imenunua hisa za VIP na hakukuwa na vielelezo vya kununua Mecmer kwa kuwa kampuni hiyo tayari ilishapoteza uhalali wake kwa kuwa ilikuwa chini ya muflisi nchini Malaysia.
Aliliambia Bunge kuwa wakati wa uchukuaji wa fedha hizo kutoka BoT, ilipaswa kulipiwa kodi lakini zilichukuliwa kinyemela bila hata ya kulipiwa kodi.
Alisema TRA iliiandikia Hazina na nakala kwa BoT kwamba wakati wa kulipa fedha hizo lazima kodi ikatwe, lakini cha ajabu hilo halikufanyika licha ya kukumbushwa.
"Kwa mfano, tulimwita Gavana katika kikao chetu cha Kamati ya Uchumi pale Bagamoyo na alikiri kuwa alibanwa na viongozi wa juu kiasi cha kushindwa kufurukuta, kwa hali kama hiyo Naibu Spika unategemea nini?" alihoji.
Kafulila alisema, Gavana katika kikao hicho alikiri kuwa, kulikuwa na presha (shinikizo) ambazo asingeweza kuzizuia na kuwa alikuwa amejitahidi kwa kiasi kikubwa hadi kufikia alipofika.
Alisema ISCID lilitoa hukumu ndogo Februari, mwaka huu kuwa Tanesco na IPTL wakae pamoja na kupitia hesabu zao namna watakavyogawanya fedha hizo na walipewa siku 60 ambazo mwisho wake ulikuwa jana.
Aliituhumu Tanesco kuwa katika makubaliano hayo ilikataa kukaa meza moja na kufanya hesabu za namna ya kulipana jambo alilosema linaonyesha ilidhamiria kufanya hivyo.
"Kwa sababu wanajua kuwa fedha ile ilishaliwa na wajanja wachache, Mheshimiwa Waziri Mkuu, hili kwa vyovyote halikubaliki na halivumiliki kwa sababu Dola122 milioni ni zaidi ya Sh200 bilioni ambazo ni nyingi kuliko za EPA, lazima litoke na mtu."
Alisema hayuko tayari kuona fedha hizo zikitafunwa bila ya utaratibu na akashangazwa kuona Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), akishindwa kuchukua hatua.
Akikoleza moto jioni katika kikao cha jioni, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alimwita tena Kafulila kutoa ufafanuzi wa hoja yake aliyoitoa mchana, ambayo iliombewa mwongozo na Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kwamba Gavana alishinikizwa kutoa fedha hizo.
Wakati wa mwongozo huo, Kafulila hakuwapo na ndiyo sababu ya Mwenyekiti kumpa nafasi ya kufuta kauli yake kuwa Gavana alishinikizwa. Hata hivyo, Kafulila alikazia akisema alishinikizwa kutoa fedha hizo.
"Gavana aliwahi kuniambia, mnanionea bure. Kulikuwa na presha kubwa sana kuhusu fedha hizi… ukweli ni kwamba IPTL inabadilishwa tu rangi na watendaji ni walewale."
Baada ya Kafulila kuzungumza, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alisimama na kusema: "Tuhuma dhidi ya Gavana wa Benki Kuu zinatolewa kwa kuwa hawezi kuingia bungeni kujitetea.
"Lakini Gavana tulimuuliza na akakanusha kuwa aliwahi kuyatamka hayo maneno na kiongozi wa shughuli za Serikali bungeni atakuja kufafanua jambo hili kesho (leo) katika hotuba yake," alisema Lukuvi.
Hata hivyo, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee alisimama kuomba mwongozo akisema: "Kamati ya Bunge iundwe ili tuchunguze fedha hizi za Escrow zimekwenda wapi? Kafulila ana ushahidi wa kutosha, kwa nini hamtaki athibitishe?
"Vikao vyote vya kamati vinawekewa kwenye kumbukumbu rasmi (hansard) ili kujua kama Gavana alitoa maneno hayo ama hakutoa, iundwe kamati ijulikane mbivu na mbichi na wezi wa fedha za Escrow tunao humu ndani ya Bunge."
Chanzo: Mwananchi
===================================================
SOMA PIA:
JANUARY - AUGUST 2014
2017
Katika tuhuma hizo, alimuunganisha pia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na vigogo wengine, wakiwamo wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na wa Serikali, wote akiwataja tu kwa vyeo bila majina.
Mawaziri waliotajwa ni Waziri wa Nishati na Madini, Waziri wa Fedha na Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).
Ingawa Kafulila hakutaja kwa majina, Waziri wa Nishati ni Profesa Sospeter Muhongo, wa Fedha ni Saada Mkuya, Katibu Mkuu wa wizara hiyo (Nishati) ni Eliakim Maswi na AG ni Frederick Werema.
Kafulila alitoa tuhuma hizo bungeni alipokuwa akichangia hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2014/15.
Mbunge huyo alisema fedha zilizoibwa katika Akaunti ya Escrow ni nyingi kuliko zile zilizoibwa katika kashfa ya Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya BoT mwaka 2005.
"Pamoja na hilo, Watanzania wamekuwa wakisikia kwenye vyombo vya habari kwamba Tanesco wakati ilipokuwa na mgogoro na IPTL walifika mahali wakafungua akaunti ya Escrow," alisema.
Mbunge huyo alisema akaunti hiyo ilifunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), mwaka 2004 na hadi jana, akaunti ile ilishafikia Dola za Marekani 122 milioni," alisema Kafulila.
Alisema fedha hizo ziliwekwa kwa lengo maalumu kutokana na mgogoro uliokuwapo kati ya IPTL na Tanesco ili ziweze kusaidia malipo baada ya mgogoro kuisha katika Baraza la Usuluhishi wa Kibiashara la ISCID.
Alitaka jambo hilo liingie kwenye rekodi kwa kuwa linahusu BoT na vigogo akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Nishati na Madini pamoja na Katibu wake na pia Waziri wa Fedha.
Alisema wakati Tanesco ikidaiwa madeni zaidi ya Sh400 bilioni, viongozi hao wameidhinisha kugawanywa kwa fedha hizo kihuni jambo alilosema halivumiliki hata kidogo.
Kafulila alisema fedha hizo zilichotwa na Kampuni ya PAP aliyosema ya "Singasinga na ya kitapeli" ambayo iliidhinishiwa kuchota fedha hizo kinyume na utaratibu. Alisema fedha hizo hazikupaswa kuchukuliwa kwa
kuwa kulifanyika udanganyifu mkubwa kwamba PAP ilikuwa imenunua IPTL wakati jambo hilo si la kweli.
Alisema IPTL ilikuwa na makubaliano ya kufanya kazi kwa kampuni mbili ambazo ni VIP Engineering ya Tanzania iliyokuwa na hisa asilimia 30 na Mecmer ambayo ilikuwa na asilimia 70 ya hisa.
Hata hivyo, alidai kuwa anao ushahidi kuwa PAP ilikuwa imenunua hisa za VIP na hakukuwa na vielelezo vya kununua Mecmer kwa kuwa kampuni hiyo tayari ilishapoteza uhalali wake kwa kuwa ilikuwa chini ya muflisi nchini Malaysia.
Aliliambia Bunge kuwa wakati wa uchukuaji wa fedha hizo kutoka BoT, ilipaswa kulipiwa kodi lakini zilichukuliwa kinyemela bila hata ya kulipiwa kodi.
Alisema TRA iliiandikia Hazina na nakala kwa BoT kwamba wakati wa kulipa fedha hizo lazima kodi ikatwe, lakini cha ajabu hilo halikufanyika licha ya kukumbushwa.
"Kwa mfano, tulimwita Gavana katika kikao chetu cha Kamati ya Uchumi pale Bagamoyo na alikiri kuwa alibanwa na viongozi wa juu kiasi cha kushindwa kufurukuta, kwa hali kama hiyo Naibu Spika unategemea nini?" alihoji.
Kafulila alisema, Gavana katika kikao hicho alikiri kuwa, kulikuwa na presha (shinikizo) ambazo asingeweza kuzizuia na kuwa alikuwa amejitahidi kwa kiasi kikubwa hadi kufikia alipofika.
Alisema ISCID lilitoa hukumu ndogo Februari, mwaka huu kuwa Tanesco na IPTL wakae pamoja na kupitia hesabu zao namna watakavyogawanya fedha hizo na walipewa siku 60 ambazo mwisho wake ulikuwa jana.
Aliituhumu Tanesco kuwa katika makubaliano hayo ilikataa kukaa meza moja na kufanya hesabu za namna ya kulipana jambo alilosema linaonyesha ilidhamiria kufanya hivyo.
"Kwa sababu wanajua kuwa fedha ile ilishaliwa na wajanja wachache, Mheshimiwa Waziri Mkuu, hili kwa vyovyote halikubaliki na halivumiliki kwa sababu Dola122 milioni ni zaidi ya Sh200 bilioni ambazo ni nyingi kuliko za EPA, lazima litoke na mtu."
Alisema hayuko tayari kuona fedha hizo zikitafunwa bila ya utaratibu na akashangazwa kuona Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), akishindwa kuchukua hatua.
Akikoleza moto jioni katika kikao cha jioni, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alimwita tena Kafulila kutoa ufafanuzi wa hoja yake aliyoitoa mchana, ambayo iliombewa mwongozo na Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kwamba Gavana alishinikizwa kutoa fedha hizo.
Wakati wa mwongozo huo, Kafulila hakuwapo na ndiyo sababu ya Mwenyekiti kumpa nafasi ya kufuta kauli yake kuwa Gavana alishinikizwa. Hata hivyo, Kafulila alikazia akisema alishinikizwa kutoa fedha hizo.
"Gavana aliwahi kuniambia, mnanionea bure. Kulikuwa na presha kubwa sana kuhusu fedha hizi… ukweli ni kwamba IPTL inabadilishwa tu rangi na watendaji ni walewale."
Baada ya Kafulila kuzungumza, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alisimama na kusema: "Tuhuma dhidi ya Gavana wa Benki Kuu zinatolewa kwa kuwa hawezi kuingia bungeni kujitetea.
"Lakini Gavana tulimuuliza na akakanusha kuwa aliwahi kuyatamka hayo maneno na kiongozi wa shughuli za Serikali bungeni atakuja kufafanua jambo hili kesho (leo) katika hotuba yake," alisema Lukuvi.
Hata hivyo, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee alisimama kuomba mwongozo akisema: "Kamati ya Bunge iundwe ili tuchunguze fedha hizi za Escrow zimekwenda wapi? Kafulila ana ushahidi wa kutosha, kwa nini hamtaki athibitishe?
"Vikao vyote vya kamati vinawekewa kwenye kumbukumbu rasmi (hansard) ili kujua kama Gavana alitoa maneno hayo ama hakutoa, iundwe kamati ijulikane mbivu na mbichi na wezi wa fedha za Escrow tunao humu ndani ya Bunge."
Chanzo: Mwananchi
===================================================
SOMA PIA:
JANUARY - AUGUST 2014
- Sakata la Escrow: AG Werema amvaa Kafulila, Amwita tumbili asiyeweza amua mambo ya msituni
- Yajue yote kuhusu ESCROW AKAUNTI
- Utabiri wa Zito Zuberi Kabwe juu ya wizi wa fedha za escrow
- Kangi Lugola: Ni Kweli Fedha za Escrow sio Fedha za Umma?
- Fedha zilizokuwa katika akaunti maalumu ya IPTL (Tegeta Escrow account), ni mali ya umma
- Kafulila apeleka kashfa ya Escrow Kigoma
- On A Serious Note: Mnataka Nani Ashughulikie Tuhuma za Ufisadi wa Escrow Account ya IPTL?
- Dr. Slaa aikalia kooni serikali ufisadi wa Fedha za ESCROW
- Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account
- Majina ya waliokula fedha za akaunti ya Escrow katika ripoti ya PAC inayosomwa sasa bungeni
- Kikao cha saa tano asubuhi kati ya Hosea na Utoh dhidi ya wizi wa 200b za Escrow!
- IKULU yaanza kuchezea ripoti ya wizi wa 200b za Escrow account
- Sakata la IPTL na ESCROW: CAG anatumika vibaya
- Sakata la IPTL na ESCROW: Kafulila aanza kuumbuka, sasa kusambaza umeme MW 2000 Kenya
- Huu ndio ukweli kuhusu IPTL na ESCROW
- Kafulila: Upo mkakati kuzuia ripoti fedha za Escrow
- Tarehe 12 Oktoba, 2014: Kutakuwa na kongamano kujadili ufisadi wa akaunti ya ESCROW
- Wanazuoni mwanza kukusanya saini kudai report ya escrow bunge lijalo
- Ofisi ya CAG: Ukaguzi Maalum wa akaunti ya Tegeta Escrow (Ukaguzi wa IPTL) unaendelea.
- Urais wa Pinda na ufisadi wa pesa za Escrow na DECI
- CAG aagizwa kuwasilisha ripoti ya Escrow
- Mhere Mwita na watu 320 kujiunga na kesi ya escrow account inayomuhusu Kafulila
- CHADEMA Kuwasilisha hoja binafsi bungeni juu ya ufisadi wa IPTL/ESCROW
- Dr Hosea avunja ukimya kuhusu ripoti ya ESCROW
- Kesho Bunge litatangaza tarehe ya kuwasilishwa kwa hoja ya ESCROW
- Ripoti ya ESCROW yawasha moto
- Revealing: Tanzania's Escrow account scandal (CODED message)
- Sakata la ESCROW ni pigo kwa Lowassa
- Ufisadi Escrow - PM, AG, Mawaziri, MPs, Viongozi wa Siasa Watajwa
- Account ya ESCROW kuisambatisha UKAWA wiki ijayo
- Bunge lasitisha mjadala wa Tegeta Escrow Account
- Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW
- Kikao cha dharula cha Kamati ya Uongozi kukaa mchana huu kujadili ukaidi wa serikali kuhusu Escrow!
- Barua hizi zinaonyesha Wahusika wakuu wa wizi wa ESCROW funds,l tuzichambue kwa umakini
- Rais Kikwete kurudi kulihutubia Bunge kuagiza walioiba Escrow warudishe
- Ripoti ya Escrow yakabidhiwa kwa Kamati ya Bunge(PAC)
- Watatu waongezwa kuandaa ripoti ya ESCROW
- Mahakama yaingilia Bunge kuzuia suala la Escrow lisijadiliwe!
- PCCB gives damning testimony on Escrow cash
- ESCROW: Msalaba wa Viongozi Wapigaji, Wahuni Wavaa Suti
- Baadhi ya Majina ya Vigogo waliolipwa pesa za ESCROW
- Gazeti la UK laweka hadharani jitihada za Pinda kukwamisha mjadala wa ESCROW
- Lilipofikia suala la ESCROW, wananchi tufanye maandamano ya amani nchi nzima
- Mahakama yakana kuandika Barua kuzuia mjadala wa Tegeta Escrow Account bungeni
- Escrow saga: Petition to donor countries, maombi kwa nchi wahisani
- Kikao cha dharula: Kitimoto kwa wabunge wa CCM wanaopigia kelele Escrow
- Athari za Wizi wa Escrow kwa thamani ya sarafu ya Tanzania
- CCM yabariki na kuafiki maamuzi yaliyofikiwa na bunge kuhusu Escrow
- SAKATA LA ESCROW: Ole Naiko ajitetea Hakujua kama amewekewa Mamillioni
- Mkutano wa Zitto na Warioba: Waongelea masuala ya uwajibikaji, Maazimio ya Escrow
- Jaji Mkuu "awatosa" watuhumiwa wa Escrow
- CAG mpya Prof Assad Kufanya marejeo ripoti ya account ya Tegeta Escrow
- Zitto: Wabunge watetezi wa Escrow walihongwa m10 na IPTL
- Kafulila afunguka tena, sasa aituhumu Ikulu kuhusika na suala la ESCROW
- Ripoti Escrow yakabidhiwa kwa Rais
- Dk. Slaa Aibua Mapya IPTL, asema ni bil 400 na si bil. 306 Zilizochotwa ESCROW!!!!
- Membe: Government to take actions against those who would be found guilty over Escrow Saga
- Mapya kuhusu ESCROW, Shule ya Prof Tibaijuka yathibitisha kupokea pesa' in good faith'
- Mbunge CCM azomewa jimboni kwake kwa Kumtetea Tibaijuka sakata la Escrow
- Sakata la ESCROW kimenuka USA KUKATA MISAADA YA MIRADI YA MCC
- Zitto kabwe anena juu ya upotoshaji unaopigiwa debe ya kuwatetea wapigaji wa escrow
- Sakata la ESCROW: IPTL na PAP Watinga Mahakama Kuu kuomba ufafanuzi wa Kisheria wa Maazimio ya Bunge
- Sakata la ESCROW bado bichi: Dk. Slaa anasa mawasiliano ya James Rugemalira na Mkuu
- Escrow yazidi kuvimba: CHADEMA wampatia kibarua kizito Rais Kikwete kuelekea Hotuba yake kesho
- Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa
- Sakata la Escrow: Mahakama Kuu yateua Majaji kusikiliza maombi ya IPTL kuhusu maazimio ya Bunge
- UVCCM yafanya Press: Yampongeza Rais kwa kulitolea ufafanuzi suala la ESCROW
- UKAWA Wamshukia Kikwete kama mwewe, Dr. Slaa asema Familia ya Kikwete ni mnufaika wa Escrow
- Kampuni ya PAP ilighushi nyaraka kabla ya kuchota mabilioni kutoka Escrow account
- CAG Mstaafu Utouh Asema Fedha Za Escrow Zirudishwe
- Mgao wa escrow: Jimbo la Muleba limepata 1.6 bilion
- Tibaijuka= Nitatetea Ubunge Wangu Sijali Ya Escrow!!
- Kafulila ajibu hoja za Rais Kikwete juu ya Fedha za Tegeta Escrow Account
- Pinda: Nilichafuliwa sakata la Escrow kwa sababu ya urais
- Kafulila: Nina bomu zito la Escrow
- Wafanyakazi saba wa Mamlaka ya Mapato Tanzania wasimamishwa kazi kwa kashfa ya ESCROW
- ESCROW: Hatimaye Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kulipia kodi
- 7 Waachishwa Kazi TRA-ESCROW
- Taasisi ya kidini yatetea wahalifu wa escrow
- Jaji Mkuu: Majaji Escrow niachieni
- Watuhumiwa wawili wa Escrow wafikishwa mahakamani
- New Development on Escrow Scandal in Tanzania
- Watuhumiwa wengine watatu wa Sakata la ESCROW wafikishwa mahakamani leo
- Sekondari iliyopata mgawo wa ESCROW yaongoza
- Sakata la Escrow: Muhongo, Rugemalira, Harbinder na Ngeleja kufikishwa mahakamani
- Makinda: Wenyeviti wa Kamati waliotajwa kwenye escrow wamejiuzulu
- Escrow Scandal: Prof Sospeter Muhongo (Minister for Energy and Minerals) resigns
- ESCROW: Serikali kulifungia gazeti la CITIZEN wiki Ijayo
- Prof. Muhongo aongea na Redio Sauti ya Ujerumani; asisitiza fedha za Tegeta Escrow si za Umma!
- Marando: Kikwete mtuhumiwa Escrow
- Escrow bado mbichi, Kafulila ndiye wa kupuliza kipenga
- Sakata la Escrow: Kigogo wa Ikulu (Shaaban Gurumo) ahojiwa na Baraza la Maadili
- Escrow Kimenuka: Uongo wa Taarifa ya Kamati ya PAC kuhusu sakata la ESCROW
- Kikwete aikingia kifua ESCROW kwa kutishia kuvifungia vyombo vya habari vinavyochochea
- Kamishna TRA agoma kuhojiwa anayedaiwa kupokea Sh. Milioni 80.8 katika sakata la Escrow
- Kigogo wa Escrow asema alitumia hela kumuuguza mkewe
- Wafadhili kutoa fedha za bajeti, ni baada ya kuridhishwa na Escrow ilivyo shughulikiwa
- Bungeni Escrow - Stanbic Mnyika ahoji usiri/utoroshaji pesa kwenda Austria, S.A na vigogo kutohojiwa
- Sakata la Escrow lamburuza Kigogo wa RITA Mahakamani
- Zitto amlipua Rugemarila wa Escrow
- Ngeleja azima hoja ya Escrow
- Sakata la Escrow: Ripoti za watuhumiwa zakabidhiwa kwa Rais Kikwete
- Escrow: Stanbic Bank yakwama kutaja majina,yatimua wafanyakazi kadhaa
- David Kafulila atunukiwa Tuzo kwa hoja ya Escrow
- Ikulu: Eliakim Maswi hakuhusika na uchotaji fedha Tegeta Escrow
- Escrow yarudi bungeni kwa kishindo
- Mapya Yaibuka Sakata La Escrow
- Kashfa ya Escrow: Mnikulu Shabani Gurumo atimuliwa Ikulu
- Zitto: Waliohusika Escrow wamepewa Bandari ya Tanga!
- Mahakama Kuu: Suala la Chenge na Escrow lirudishwe kwenye Tume
- Tegeta-Escrow boss may stand trial.
- Saed Kubenea: Mkinichagua kuwa mbunge, nitawataja waliopata mgao wa pesa za ESCROW kupitia Stanbic
- Ubunge-2015: Waliohusika na ESCROW waibuka kidedea, aliyeibua kashfa chali!
- Mtazamo: Bunge la 11 kuibua upya Richmond,Escrow,Uuzaji wa nyumba za serikali,Hisa zilizouzwa
- Jaji Utamwa wa Escrow Kusikiliza Kesi ya Kafulila ya Kupinga Matokeo ya Uchaguzi leo hii
- Namuunga mkono John Mnyika kupeleka tena hoja binafsi juu ya Tegeta Escrow
- JAMUHURI: Prosper Mbena ahojiwa na TAKUKURU kuhusu fedha za Escrow
- Bilionea fisadi wa Tegeta Escrow, Rugemalila awa mfadhili mkuu wa CHADEMA
- Mhariri The Guardian amtaka Magufuli amchukulie hatua tajiri Sethi wa Tegeta Escrow account
- Kubenea kufufua upya sakata la Escrow bungeni
- IPTL yamburuza Zitto mahakamani, Wadai alikuwa na maslahi kwenye Tegeta ESCROW
- Mke wa Kafulila arejesha Escrow bungeni, Chenge ashikwa na kigugumizi kujibu
- Mhusika wa ESCROW aachiwa huru na mahakama ya Kisutu
- TRA yamdai Profesa Tibaijuka Sh500M za ESCROW, apinga
- Zilizovuja: Serikali ilifungua akaunti mpya ya siri ya Escrow yenye harufu ya kifisadi
- TPDC yathibitisha kufungua account 3 za Escrow katika Bank ya Stanbic
- TPDC yakanusha kufungua Akaunti za ESCROW katika Benki ya Stanbic
- Siri kuu kuhusu Escrow zafichuka
- Prof. Lipumba: TAKUKURU kamateni wezi wa Escrow, sio walioficha sukari
- Prof. Tibaijuka: Watu waliochota fedha za escrow kutoka Stanbic hawatajwi, sisi tulionewa
- Tegeta Escrow: TANESCO yashindwa kesi dhidi ya IPTL. Yaamriwa kulipa zaidi ya Sh. Bilioni 320!
- Kampuni ya Kufua Umeme (IPTL) imegeuziwa kibao katika suala la Escrow
- ESCROW sio siri tena, mambo yote hadharani
- Kafulila: Hii ndio siri ya Singasinga kulindwa ufisadi wa IPTL/ESCROW
- Mzimu wa Escrow waigawa Serikali
- Kesi ya ESCROW kuendelea Mahakama ya Kisutu kesho
- Standard Chartered yataka mahakama iizuie TANESCO kuilipa IPTL, yashtukia ESCROW
- Walichota pesa Escrow kwa magunia bado wanachunguzwa. Mpaka sasa miaka miwili imepita!
- Walichota pesa Escrow kwa magunia bado wanachunguzwa. Mpaka sasa miaka miwili imepita!
2017
- Prof. Tibaijuka: Nilitolewa mbuzi wa kafara Escrow
- Uchunguzi mpya wa Escrow wakamilika, vigogo matumbo joto
- Tegeta Escrow: IPTL given 21 days to challenge Queen’s Bench
- Tegeta Escrow: Waliochota kwenye Masandarusi watajwa, gari lililotumika kubeba ni la Ikulu
- Mtikisiko kibano kipya cha Escrow
- Mabilioni ya Escrow yaliyotoroshwa sasa kurejeshwa nchini
- Maaskofu Mhashamu Kilaini na Nzigilwa kurudisha pesa za mgao wa ESCROW walizopewa na Rugemalira
- Mtuhumiwa Escrow, Harbinder Sethi akimbizwa Muhimbili
- KISUTU: Kigogo aliyekuwa akikabiliwa na shtaka la kupokea rushwa ya Sh 323 milioni toka akaunti ya Escrow aachiwa huru
- Patrobas Paschal Katambi:Chenge na Tibaijuka wakamatwe walipe hela ya escrow isaidie kulipa bombadier
- Rugemalira aibua mapya, anataka kumtaja mwizi wa fedha za Escrow
- Zitto: Naipongeza Serikali kwa Kuchukua Hatua Juu ya Sakata la Escrow
- Zitto Kabwe anena haya kuhusu ESCROW
- BAVICHA: Hawa waliokamatwa kwenye ESCROW ni Punda tu, wapo waliokuwa wanammliki, wote wanatakiwa
- LHRC: katiba mpya inahitajika, RICHMOND, Riporti ya LUGUMI na ESCROW zirudishwe tena bungeni
- Jinsi bilionea wa IPTL-Tegeta Escrow alivyonaswa Airport akitaka "kutoroka"
- Watuhumiwa wa Escrow wapandishwa kizimbani, Rugemalira aanza kudhoofika
- William Ngeleja arejesha fedha za mgao wa Escrow kiasi cha Tsh Milioni 40.4
- CHADEMA: Maigizo ya Ngeleja hayana tija kwa Taifa, ni 'utakatishaji wa fedha' haramu za ESCROW
- Benson Kigaila: Waliopewa mgao wa escrow wafikishwe mahakamani kusomewa hukumu zao
- Rugemalira ataja wezi wa Escrow mahakamani, washirika wengine awapeleka TAKUKURU na kudai hata yeye 'walimliza'
- Escrow wale waliolipwa wako gerezani je wale waliozitoa wako wapi?
- Waliobeba Mabilioni ya ESCROW kwenye Simba Trust wamtelekeza Sethi
- TANESCO wahukumiwa kuilipa IPTL Tshs Billion 700 ikiwemo Tshs Billion 306 zilizochotwa katika Account ya Escrow
- Mbunge wa Sengerema William Ngeleja alikuwa wa kwanza kukiri na kurejesha mgao wa Escrow anastahili pongezi.
- Mama Tibaijuka kurudisha shilingi bilioni 1.6 za mgawo wa Escrow aliopewa na Rugemalira
- Rugemalira aamsha mzimu wa Escrow, aomba aachiwe azifuate kwa aliowagawia
- Serikali yakana hukumu ya kuilipa ESCROW dola Mil 185. Dk. Abbasi asema Serikali haidaiwi
- Rugemalila adai aliwaandikia barua TRA kueleza jinsi benki ya Standard Chartered ilivyokuwa ikikwepa kodi
- Rugemalila aitaka Benki Kuu iwataje watu wote waliopata mgawo wa Escrow. Gavana asita, aomba ruhusa ya Mahakama awataje
- How PAP acquired IPTL for almost nothing and looted US$124m from the BoT
- Profesa Lipumba ashangazwa na Rais Samia kumuachia mtu aliyekula njama katika wizi wa shilingi zaidi ya bilion 300 za Escrow kwa kutoa bilion 26 tu
- Hayati John Pombe Magufuli alitutoa kwenye giza totoro lililoleta kashfa kubwa ya Ufisadi wa Richmond na Escrow
- Serikali isidanganye umma pesa kuchotwa na kupelekwa china hadi sasa mabilion ya ESCROW yako wapi
- EPA, ESCROW na RICHMOND nazo zilitetewa kama inavyotetewa DP World
- Kubenea ahoji: Je, Kafulila huyu wa UDART leo ndio yule yule wa IPTL na Escrow? Yeye (Kafulila) amchana kwa hoja nzito Saba
- ESCROW: Jaji Werema ametangulia mbele za haki David Kafulila anakumbukwa kwa ushujaa aliounesha?
