Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

kafulila.jpg


Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila akichangia mjadala bungeni mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi
Na Habel Chidawali na Sharon Sauwa, Mwananchi

Mchakato wa mauziano ya hisa ulivyofanyika kati ya mechmar corporation (malaysia) berhard kwenda pap,anajua kwamba seth aliomba kuuziwa sehemu ya hisa za iptl tanzania yaani 70% za iptl zilizokuwa chini ya mechmar lakini akakataliwa kutokana na sheria za biashara kimataifa kutoruhusu mwangalizi kununua hisa za kampuni anayoisimamia, na hivyo hisa kuuzwa kwa kampuni ya piper link,hivyo seth singh alilazimika kuomba piperlink imuuzie hisa zake ndani ya iptl Tanzania,na manunuzi hayo yalifuata taratibu zote za kisheria ikiwa pamoja na kununua madeni yote ya kampuni.
 
british.png

British High Commissioner to Tanzania, Dianna Patricia Melrose speaks at Mwananchi Communications Ltd (MCL) office which is located at Tabata Relini in Dar es Salaam yesterday. PHOTO|SALIM SHAO

By Florence Mugarula ,The Citizen Reporter

Posted Wednesday, May 7 2014 at 00:00
In Summary


  • Ms Dianna Melrose commends the decision by the Public Accounts Committee and Controller and Auditor General to investigate the Sh198.25 billion transaction saga


Dar es Salaam.
The United Kingdom and other development partners are concerned about the controversy surrounding the acquisition of Independent Power Tanzania Limited (IPTL), the UK's high commissioner to Tanzania said yesterday.


Ms Dianna Melrose commended the decision by the Public Accounts Committee (PAC) and Controller and Auditor General (CAG) to investigate the $122 million (Sh198.25 billion) transaction saga.


She also confirmed that she wrote to the Bank of Tanzania (BoT) governor, Prof Benno Ndulu, seeking to know on what grounds were the escrow billions released to Pan African Power (PAP) Solutions Limited while the main case was still pending before an international tribunal.


The UK envoy was speaking during a visit to the Mwananchi Communications Limted (MCL) head offices.

She said the IPTL issue was of "great concern" to the British government, adding that the high commission had already communicated with the relevant ministers in addition to writing to the BoT governor.

"We wrote to the BoT governor asking for elaboration after learning something about the escrow account," Ms Melrose said.


According to the envoy, the UK government was pleased that the matter was now being investigated and that there would be a comprehensive report on what really transpired.


"Let's wait for the results and see what really happened," she said.


However, Ms Melrose said the donor community was closely monitoring the unfolding scandal, adding that the UK had reason to be concerned as it was planning to provide £71 million (Sh177 billion) for Tanzania's energy sector in the next financial year. "The UK alone looks forward to providing £ 71 million to the energy sector in the next budget, so it is a concern for us when it comes to the IPTL issue," she said.


PAC in March ordered an audit to establish how PAP was paid billions of shillings from an escrow account after the company claimed it first bought 70 per cent of Malaysian firm Mechmar for an undisclosed amount and then acquired 30 per cent of VIP Engineering and Marketing for $67.5 million (Sh109.14 billion).


In terms of reference revised by the CAG and endorsed by PAC last week, the parliamentary oversight committee, among other things, directed that an investigation be carried out to establish whether the acquisition of the 70 per cent stake in IPTL was legal.


The CAG will also investigate the circumstances that allowed IPTL, which was under liquidation, to sell the stake to a new investor in 2010 as claimed by PAP executive chairman Harbinder Singh Sethi.

PAC has also tasked CAG to investigate why Value Added Tax amounting to Sh26 billion was not paid by PAP despite advice by Tanzania Revenue Authority that BoT should deduct the tax before releasing money from the escrow account.


The committee has also called for an investigation into how the tender to produce 500 megawatts was awarded to PAP without any formal tendering procedures being followed as required by the Public Procurement Act. Ms Melrose said yesterday that the recent call by PAC for an investigation was welcome since it would help to get an objective report on the matter.


"I have personally told people to read the tribunal's report (ruling) on the IPTL matter…it's the most comprehensive and fair report, but it's surprising to hear that it was against the interests of Tanzanians," she said.
According to details seen by The Citizen, the decision by the Washington-based tribunal was in favour of Tanesco, confirming the state-owned power utility's longstanding complaint that it was being overcharged by IPTL.

The tribunal's verdict also confirmed that Hong Kong-based Standard Chartered Bank (SCB-HK) had grounds to bring claims under a 1995 contract between IPTL and Tanesco.


The International Centre for Settlements of Investments Disputes (ICSID) on February 14 ruled that SCB-HK, which is the claimant, had been assigned IPTL's rights under the contract as security for a loan.


But ICSID also said it can only grant declaratory relief to the claimant and not damages as prayed by SCB-HK. The tribunal ordered recalculation of capacity charges by both sides and report back to it on May 14, but Tanesco has so far n0t done anything concrete.


Some legal experts, including Tanesco's former lawyers, believe that the form could be refunded millions of dollars from the escrow account if the recalculation of capacity charge is done properly and fairly.


Tanesco has been paying capacity charges amounting to $3.6 million (Sh5.85 billion) a month to IPTL for many years, and the February decision by ICSID confirms that the state-owned company has indeed been overcharged.
 
british.png

British High Commissioner to Tanzania, Dianna Patricia Melrose speaks at Mwananchi Communications Ltd (MCL) office which is located at Tabata Relini in Dar es Salaam yesterday. PHOTO|SALIM SHAO

By Florence Mugarula ,The Citizen Reporter

Posted Wednesday, May 7 2014 at 00:00
In Summary


  • Ms Dianna Melrose commends the decision by the Public Accounts Committee and Controller and Auditor General to investigate the Sh198.25 billion transaction saga


Dar es Salaam.
The United Kingdom and other development partners are concerned about the controversy surrounding the acquisition of Independent Power Tanzania Limited (IPTL), the UK’s high commissioner to Tanzania said yesterday.


Ms Dianna Melrose commended the decision by the Public Accounts Committee (PAC) and Controller and Auditor General (CAG) to investigate the $122 million (Sh198.25 billion) transaction saga.


She also confirmed that she wrote to the Bank of Tanzania (BoT) governor, Prof Benno Ndulu, seeking to know on what grounds were the escrow billions released to Pan African Power (PAP) Solutions Limited while the main case was still pending before an international tribunal.


The UK envoy was speaking during a visit to the Mwananchi Communications Limted (MCL) head offices.

She said the IPTL issue was of “great concern” to the British government, adding that the high commission had already communicated with the relevant ministers in addition to writing to the BoT governor.

“We wrote to the BoT governor asking for elaboration after learning something about the escrow account,” Ms Melrose said.


According to the envoy, the UK government was pleased that the matter was now being investigated and that there would be a comprehensive report on what really transpired.


“Let’s wait for the results and see what really happened,” she said.


However, Ms Melrose said the donor community was closely monitoring the unfolding scandal, adding that the UK had reason to be concerned as it was planning to provide £71 million (Sh177 billion) for Tanzania’s energy sector in the next financial year. “The UK alone looks forward to providing £ 71 million to the energy sector in the next budget, so it is a concern for us when it comes to the IPTL issue,” she said.


PAC in March ordered an audit to establish how PAP was paid billions of shillings from an escrow account after the company claimed it first bought 70 per cent of Malaysian firm Mechmar for an undisclosed amount and then acquired 30 per cent of VIP Engineering and Marketing for $67.5 million (Sh109.14 billion).


In terms of reference revised by the CAG and endorsed by PAC last week, the parliamentary oversight committee, among other things, directed that an investigation be carried out to establish whether the acquisition of the 70 per cent stake in IPTL was legal.


The CAG will also investigate the circumstances that allowed IPTL, which was under liquidation, to sell the stake to a new investor in 2010 as claimed by PAP executive chairman Harbinder Singh Sethi.

PAC has also tasked CAG to investigate why Value Added Tax amounting to Sh26 billion was not paid by PAP despite advice by Tanzania Revenue Authority that BoT should deduct the tax before releasing money from the escrow account.


The committee has also called for an investigation into how the tender to produce 500 megawatts was awarded to PAP without any formal tendering procedures being followed as required by the Public Procurement Act. Ms Melrose said yesterday that the recent call by PAC for an investigation was welcome since it would help to get an objective report on the matter.


“I have personally told people to read the tribunal’s report (ruling) on the IPTL matter…it’s the most comprehensive and fair report, but it’s surprising to hear that it was against the interests of Tanzanians,” she said.
According to details seen by The Citizen, the decision by the Washington-based tribunal was in favour of Tanesco, confirming the state-owned power utility’s longstanding complaint that it was being overcharged by IPTL.

The tribunal’s verdict also confirmed that Hong Kong-based Standard Chartered Bank (SCB-HK) had grounds to bring claims under a 1995 contract between IPTL and Tanesco.


The International Centre for Settlements of Investments Disputes (ICSID) on February 14 ruled that SCB-HK, which is the claimant, had been assigned IPTL’s rights under the contract as security for a loan.


But ICSID also said it can only grant declaratory relief to the claimant and not damages as prayed by SCB-HK. The tribunal ordered recalculation of capacity charges by both sides and report back to it on May 14, but Tanesco has so far n0t done anything concrete.


Some legal experts, including Tanesco’s former lawyers, believe that the form could be refunded millions of dollars from the escrow account if the recalculation of capacity charge is done properly and fairly.


Tanesco has been paying capacity charges amounting to $3.6 million (Sh5.85 billion) a month to IPTL for many years, and the February decision by ICSID confirms that the state-owned company has indeed been overcharged.

Escrow lilikuwa jambo la kisheria baina ya wabia na
serikali kama mpokea huduma, ambalo walilimaliza wao
wenyewe kwa makubaliano yao ya kisheria.
“Hakuna kitu chochote ovu hapa, mengi yanayozungumzwa
katika mitandao ni ya zamani na si mapya, ambayo
yamemalizika kisheria.
Hivyo IPTL/PAP ni kampuni makini isiyokuwa na
chembe ya kifisadi na imefika hapo baada ya kupita hatua
zote za kisheria, ikiwemo kununua hisa za VIP na Mechmar.
Tunazidi kuwaomba watanzania, wawaamini na
kuendelea kuwaamini kwa kuwa hakuna vitendo vya ufisadi.
 
Ni Sababu zipi zilizosababisha Kikwete asimuongozee CAG miezi mitatu kabla ya kustaafu ili amalizie ripoti hii? Je, huyo atayechukua nafasi hii CAG atateuliwa lini? Je, kama atateuliwa hivi karibuni atapewa maagizo na Kikwete kwamba kipaumbele chake cha kwanza kama CAG ni kukamilisha ripoti hiyo ya wizi wa shilingi bilioni 200 za ESCROW au ataambiwa ripoti hiyo haina umuhimu na hivyo kuendelea na "kazi nyingine" ambazo hazina kipaumbele kikubwa kama wizi huu wa pesa za ESCROW?
Escrow lilikuwa jambo la kisheria baina ya wabia na
serikali kama mpokea huduma, ambalo walilimaliza wao
wenyewe kwa makubaliano yao ya kisheria.
“Hakuna kitu chochote ovu hapa, mengi yanayozungumzwa
katika mitandao ni ya zamani na si mapya, ambayo
yamemalizika kisheria.
Hivyo IPTL/PAP ni kampuni makini isiyokuwa na
chembe ya kifisadi na imefika hapo baada ya kupita hatua
zote za kisheria, ikiwemo kununua hisa za VIP na Mechmar.
Tunazidi kuwaomba watanzania, wawaamini na
kuendelea kuwaamini kwa kuwa hakuna vitendo vya ufisadi.
Kinachofanyika sasa ni wivu wa kibiashara,na wafanyabiashara hao wamemuonga kafulila ili alishikilie bango swala hili kwa upande wa kisiasa na wengine wamelipwa posho ili walisambaze swala hili kwenye mitandao ya kijamii pasipo kuwa na ushaidi wowote.
 
Siri zaidi IPTL hadharani

Na Fredy Azzah na Florence Majani, Mwananchi

Posted Alhamisi,Marchi6 2014 saa 24:0 AM

Kwa ufupi

Mmoja wa wamiliki asema: "Nililipwa vijipesa vya ugoro Sh120 bilioni.".Asema sasa inaitwa PAP, Mwanasheria wa IPTL ajitokeza kupangua tuhuma

Dar es Salaam. Maswali juu ya utaratibu uliotumika kutoa fedha zilizokuwa zimewekwa kwenye Akaunti ya Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kutokana na mvutano baina ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) na IPTL yameanza kupata majibu.

Wakati mmiliki kwa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing, James Rugemalira ameibuka na kukiri kuwa yeye ni miongoni mwa waliolipwa fedha hizo huku uongozi wa IPTL ukifafanua utata kuhusu mkataba wake na Tanesco na jinsi kampuni hiyo ilivyouzwa jumla kwa Pan African Energy.

Majibu ya Rugemalira

Katika ufafanuzi wake, Rugemalira alisema kati ya fedha zilizokuwa katika Akaunti ya Escrow, yeye akiwa mwanahisa wa IPTL alilipwa Dola za Marekani 75 milioni (Sh120 bilioni), alizoziita ‘vijipesa vya ugoro' sawa na asilimia 30.


http://www.mwananchi.co.tz/habari/Ki...z/-/index.html
 
Yaani watu hata woga hawana tena!!! Halafu ripoti ya CAG inaweza kupotezewa kiaina wala tusiisikie tena au ikachakachuliwa baada ya mgawo mnene kutembezwa kwa vingunge mbali mbali ndani ya hii Serikali dhalimu.

Kuna mtu katugeuza shamba la bibi aiseee
 
Yaani watu hata woga hawana tena!!! Halafu ripoti ya CAG inaweza kupotezewa kiaina wala tusiisikie tena au ikachakachuliwa baada ya mgawo mnene kutembezwa kwa vingunge mbali mbali ndani ya hii Serikali dhalimu.

Mpwa hio sio report ya kwanza kuandaliwq. Zimeshaundwa hadi TUME na report zikatolewa. Niambie ziko wapi? Niambie ni wapi na ni nani anazo? Pengine sisi ni wepesi wa kusahau lakini hali ni mbaya sana.
 
Hakuna wa kumnyooshea kidole mwenzie ndani ya Serikali hii iliyojaa mafisadi Mpwa, walafi ambao hata viapo vyao walivyovitoa huku wakishika vitabu vitakatifu vya dini zao wameamua kuviweka pembeni ili kuendeleza ujambazi wao wa mchana kweupe.

Mpwa hio sio report ya kwanza kuandaliwq. Zimeshaundwa hadi TUME na report zikatolewa. Niambie ziko wapi? Niambie ni wapi na ni nani anazo? Pengine sisi ni wepesi wa kusahau lakini hali ni mbaya sana.
 
Litakosa wapi kufifia wakati CAG anasema amestaafu ripoti atakuja kumalizia CAG mpya ambaye hajulikani atateuliwa lini. Kikwete angeona umuhimu wa kuzungumzia kuhusu hili basi hata angesema kwamba kuna kipaumbele kikubwa kwa yeye kumteua CAG mpya ili amalizie ripoti hii haraka na kutufahamisha Watanzania kuhusu wizi huu mkubwa kuliko wa EPA au Meremeta, lakini wapi kauchuna kimyaaaaa!....HAYAMHUSU!!!!!

Hili swala limeshaanza kufifia
 
Porojo na wanasiasa kukosa hoja za ukweli tu, hakuna lolote kuhusu IPTL.
 
hosea.jpg


Dar firm account seized in Holland

By The Citizen Reporter

Posted Saturday, September 13 2014 at 07:41In Summary

  • The Mkombozi account belongs to VIP Engineering and Marketing--the company that owned 30 per cent shares in Independent Power Tanzania Limited

Dar es Salaam. The government has frozen an account in a bank in The Netherlands that is linked with the $65 million (approximately Sh129 million) that was controversially taken from an escrow account at the Bank of Tanzania and paid to a private entity last year.

The Citizen on Saturday has reliably learnt that a substantial amount of money was transferred from an account at the Catholic Church-owned Mkombozi Bank to the bank in the Netherlands. The Mkombozi account belongs to VIP Engineering and Marketing--the company that owned 30 per cent shares in Independent Power Tanzania Limited (IPTL) until it allegedly sold its shares to Pan African Power Solutions Tanzania Limited (PAP) for $65 million.

VIP Engineering and Marketing is owned by James Rugemalila.

The controversial sale of IPTL to PAP has been heavily criticised from within and outside the country, prompting Parliament to ask the Controller and Auditor General (CAG) to investigate how the money was transferred from BoT's escrow account to PAP. The Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) is also conducting a parallel investigation into the matter.


The Citizen on Saturday established that billions of shillings were transferred from VIP's account to a bank in Holland. Tanzanian investigators managed to trace the account and worked with their counterparts overseas to freeze it pending further investigations.


PCCB Director-General Edward Hosea declined to comment on the development yesterday. "The law bars me from releasing information on investigations I conduct," he said. "It is ethically and professionally unwise to comment on a matter under investigation at this point, so my answer is no comment."

The Citizen on Saturday understands that PCCB called up all records of transactions from VIP's account as it sought to establish the purpose of the transaction and transfers.

Besides discovering that huge sums of money had been transferred from the account to several others at the same bank, the investigators raised the red flag over the millions of dollars transferred from the bank to an overseas account.

Under international banking practice, an account may be frozen by government or regulatory authorities if they suspect criminal activity and civil action or liens filed against the account.

As the nation awaits the findings of the CAG and the PCCB, emerging reports have it that the investigations have established that some influential Tanzanians--including cabinet ministers, a permanent secretary and MPs--were paid substantial amounts of money from VIP's at Mkombozi.

An impeccable source told The Citizen on Saturday that the PCCB has established that taking the money from BoT was "outright theft" facilitated by corruption. Top officials in the BoT, the Attorney General's Chambers and the energy ministry appear to have been implicated. "The CAG has concluded that the release of money from the escrow account was a grossly irregular move based on fraud," said the source.

The CAG has recommended that all the officials be charged in court and the money taken from the escrow account returned.


Dr Hosea is also ready to prosecute those who received the Rugemalila money from Mkombozi.

The IPTL saga resurfaced in March this year after Prime Minister Mizengo Pinda ordered the CAG and PCCB to carry out a parallel investigation into the deal. The work of the two agencies centred on the release of the escrow money and the entire process that led to the takeover of IPTL by PAP.

BoT Governor Benno Ndulu recently announced having transferred the funds to the PAP account between November 28 and December 8, last year. The transfer raised eyebrows and Parliament's Public Accounts Committee ordered the CAG's office and the PCCB to establish the truth.

The probe is expected to unmask the questionable sale of IPTL to a new foreign owner and also open leads into how Sh201 billion ($122 million) in escrow funds were transferred to pay for the deal.

The Citizen on Saturday has exclusively reported how PAP came into play in the deal-making IPTL power supply story. PAC Chairperson Zitto Kabwe is on record saying that his committee was concerned that the deal could lead to Tanesco paying Sh200 billion to PAP, which reportedly bought IPTL at $65 million.

The CAG's investigation sought to establish how the $122 million (Sh201 billion) was transferred from the BoT escrow account to PAP.
 
Kuna mtu katugeuza shamba la bibi aiseee

Kafulila anafahamu kuwa iptl ndio kampuni pekee
inayookoa fedha za watanzania kwenye nishati kwasababu ya
kuwauzia umeme kwa bei nafuu kuliko kampuni anayoipigia
debe na iliyomtuma kuichafua iptl yaani symbioon ambayo
inaiuzia tanesco umeme unit moja kwa zaidi ya elfu moja
wakati iptl inaiuzia umeme tanesco chini ya shiling mia tano
kwa unit na imeanza mazungumzo kushusha umeme hadi sh 90
kwa unit,je haoni anatumika vibaya na kampuni yenye wivu
wa kibiashara kuchafua iptl ambayo ni mkombozi wa tanzania.
 
Porojo na wanasiasa kukosa hoja za ukweli tu, hakuna lolote kuhusu IPTL.

Kafulila anafahamu kuwa iptl ndio kampuni pekee
inayookoa fedha za watanzania kwenye nishati kwasababu ya
kuwauzia umeme kwa bei nafuu kuliko kampuni anayoipigia
debe na iliyomtuma kuichafua iptl yaani symbioon ambayo
inaiuzia tanesco umeme unit moja kwa zaidi ya elfu moja
wakati iptl inaiuzia umeme tanesco chini ya shiling mia tano
kwa unit na imeanza mazungumzo kushusha umeme hadi sh 90
kwa unit,je haoni anatumika vibaya na kampuni yenye wivu
wa kibiashara kuchafua iptl ambayo ni mkombozi wa tanzania
 
Hili swala limeshaanza kufifia

Ni kweli lakini Kafulila anafahamu kuwa iptl ndio kampuni pekee
inayookoa fedha za watanzania kwenye nishati kwasababu ya
kuwauzia umeme kwa bei nafuu kuliko kampuni anayoipigia
debe na iliyomtuma kuichafua iptl yaani symbioon ambayo
inaiuzia tanesco umeme unit moja kwa zaidi ya elfu moja
wakati iptl inaiuzia umeme tanesco chini ya shiling mia tano
kwa unit na imeanza mazungumzo kushusha umeme hadi sh 90
kwa unit,je haoni anatumika vibaya na kampuni yenye wivu
wa kibiashara kuchafua iptl ambayo ni mkombozi wa tanzania
 
Kafulila awalipua mawaziri akaunti ya Escrow

kafulila.jpg

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila akichangia mjadala bungeni mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi
Na Habel Chidawali na Sharon Sauwa, Mwananchi

Posted Ijumaa,Mei9 2014 saa 9:15 AM

Kwa ufupi


  • Asema kashfa ya Fedha za Akaunti ya Escrow ni kubwa kuliko ya EPA, ataka iundwe tume ya Bunge, Pinda kutoa majibu leo.

Dodoma: Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila jana aliibua tuhuma nzito bungeni akiwahusisha mawaziri wawili na Sh200 bilioni zilichotwa katika Akaunti ya Escrow, iliyokuwa inamilikiwa kwa pamoja kati ya Tanesco na Kampuni ya kufua umeme ya IPTL.


Katika tuhuma hizo, alimuunganisha pia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini na vigogo wengine, wakiwamo wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na wa Serikali, wote akiwataja tu kwa vyeo bila majina.


Mawaziri waliotajwa ni Waziri wa Nishati na Madini, Waziri wa Fedha na Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco).


Ingawa Kafulila hakutaja kwa majina, Waziri wa Nishati ni Profesa Sospeter Muhongo, wa Fedha ni Saada Mkuya, Katibu Mkuu wa wizara hiyo (Nishati) ni Eliakim Maswi na AG ni Frederick Werema.


Kafulila alitoa tuhuma hizo bungeni alipokuwa akichangia hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2014/15.

Mbunge huyo alisema fedha zilizoibwa katika Akaunti ya Escrow ni nyingi kuliko zile zilizoibwa katika kashfa ya Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya BoT mwaka 2005.


“Pamoja na hilo, Watanzania wamekuwa wakisikia kwenye vyombo vya habari kwamba Tanesco wakati ilipokuwa na mgogoro na IPTL walifika mahali wakafungua akaunti ya Escrow,” alisema.


Mbunge huyo alisema akaunti hiyo ilifunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), mwaka 2004 na hadi jana, akaunti ile ilishafikia Dola za Marekani 122 milioni,” alisema Kafulila.


Alisema fedha hizo ziliwekwa kwa lengo maalumu kutokana na mgogoro uliokuwapo kati ya IPTL na Tanesco ili ziweze kusaidia malipo baada ya mgogoro kuisha katika Baraza la Usuluhishi wa Kibiashara la ISCID.


Alitaka jambo hilo liingie kwenye rekodi kwa kuwa linahusu BoT na vigogo akiwamo Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri wa Nishati na Madini pamoja na Katibu wake na pia Waziri wa Fedha.


Alisema wakati Tanesco ikidaiwa madeni zaidi ya Sh400 bilioni, viongozi hao wameidhinisha kugawanywa kwa fedha hizo kihuni jambo alilosema halivumiliki hata kidogo.


Kafulila alisema fedha hizo zilichotwa na Kampuni ya PAP aliyosema ya “Singasinga na ya kitapeli” ambayo iliidhinishiwa kuchota fedha hizo kinyume na utaratibu.

Alisema fedha hizo hazikupaswa kuchukuliwa kwa kuwa kulifanyika udanganyifu mkubwa kwamba PAP ilikuwa imenunua IPTL wakati jambo hilo si la kweli.


Alisema IPTL ilikuwa na makubaliano ya kufanya kazi kwa kampuni mbili ambazo ni VIP Engineering ya Tanzania iliyokuwa na hisa asilimia 30 na Mecmer ambayo ilikuwa na asilimia 70 ya hisa.


Hata hivyo, alidai kuwa anao ushahidi kuwa PAP ilikuwa imenunua hisa za VIP na hakukuwa na vielelezo vya kununua Mecmer kwa kuwa kampuni hiyo tayari ilishapoteza uhalali wake kwa kuwa ilikuwa chini ya muflisi nchini Malaysia.


Aliliambia Bunge kuwa wakati wa uchukuaji wa fedha hizo kutoka BoT, ilipaswa kulipiwa kodi lakini zilichukuliwa kinyemela bila hata ya kulipiwa kodi.


Alisema TRA iliiandikia Hazina na nakala kwa BoT kwamba wakati wa kulipa fedha hizo lazima kodi ikatwe, lakini cha ajabu hilo halikufanyika licha ya kukumbushwa.

“Kwa mfano, tulimwita Gavana katika kikao chetu cha Kamati ya Uchumi pale Bagamoyo na alikiri kuwa alibanwa na viongozi wa juu kiasi cha kushindwa kufurukuta, kwa hali kama hiyo Naibu Spika unategemea nini?” alihoji.


Kafulila alisema, Gavana katika kikao hicho alikiri kuwa, kulikuwa na presha (shinikizo) ambazo asingeweza kuzizuia na kuwa alikuwa amejitahidi kwa kiasi kikubwa hadi kufikia alipofika.


Alisema ISCID lilitoa hukumu ndogo Februari, mwaka huu kuwa Tanesco na IPTL wakae pamoja na kupitia hesabu zao namna watakavyogawanya fedha hizo na walipewa siku 60 ambazo mwisho wake ulikuwa jana.


Aliituhumu Tanesco kuwa katika makubaliano hayo ilikataa kukaa meza moja na kufanya hesabu za namna ya kulipana jambo alilosema linaonyesha ilidhamiria kufanya hivyo.


“Kwa sababu wanajua kuwa fedha ile ilishaliwa na wajanja wachache, Mheshimiwa Waziri Mkuu, hili kwa vyovyote halikubaliki na halivumiliki kwa sababu Dola122 milioni ni zaidi ya Sh200 bilioni ambazo ni nyingi kuliko za EPA, lazima litoke na mtu.”


Alisema hayuko tayari kuona fedha hizo zikitafunwa bila ya utaratibu na akashangazwa kuona Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), akishindwa kuchukua hatua.


Akoleza moto jioni

Katika kikao cha jioni, Mwenyekiti wa Bunge, Mussa Zungu alimwita tena Kafulila kutoa ufafanuzi wa hoja yake aliyoitoa mchana, ambayo iliombewa mwongozo na Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kwamba Gavana alishinikizwa kutoa fedha hizo.


Wakati wa mwongozo huo, Kafulila hakuwapo na ndiyo sababu ya Mwenyekiti kumpa nafasi ya kufuta kauli yake kuwa Gavana alishinikizwa. Hata hivyo, Kafulila alikazia akisema alishinikizwa kutoa fedha hizo.


“Gavana aliwahi kuniambia, mnanionea bure. Kulikuwa na presha kubwa sana kuhusu fedha hizi… ukweli ni kwamba IPTL inabadilishwa tu rangi na watendaji ni walewale.”


Baada ya Kafulila kuzungumza, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi alisimama na kusema: “Tuhuma dhidi ya Gavana wa Benki Kuu zinatolewa kwa kuwa hawezi kuingia bungeni kujitetea.


“Lakini Gavana tulimuuliza na akakanusha kuwa aliwahi kuyatamka hayo maneno na kiongozi wa shughuli za Serikali bungeni atakuja kufafanua jambo hili kesho (leo) katika hotuba yake,” alisema Lukuvi.

Hata hivyo, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee alisimama kuomba mwongozo akisema: “Kamati ya Bunge iundwe ili tuchunguze fedha hizi za Escrow zimekwenda wapi? Kafulila ana ushahidi wa kutosha, kwa nini hamtaki athibitishe?


“Vikao vyote vya kamati vinawekewa kwenye kumbukumbu rasmi (hansard) ili kujua kama Gavana alitoa maneno hayo ama hakutoa, iundwe kamati ijulikane mbivu na mbichi na wezi wa fedha za Escrow tunao humu ndani ya Bunge.”

CC: Tized, Mr Rocky, sifongo, Elly B, MziziMkavu, Power to the People, Jasusi, Eiyer, idawa, nguruvi, Mentor, Sikonge, Dingswayo, M ANI, tpaul, Bramo, Bulesi Bulldog, Sangarara, MTAZAMO, Erythrocyte, Mag3, Mimibaba, zumbemkuu, Crashwise, amkawewe, Idimi, Ogah, Chakaza, mshana jr, joka Kuu, MWALLA, genekai, PRINCE CROWN, Tuko, Shark, lynxeffect22, samaki2011, MoudyBoka adolay, Elli, nyabhingi, Janjaweed, S.N.Jilala, MEANDU, Tabby, Candid Scope, August, BONGOLALA, Gefu, Bigirita, Kozo Okamoto, Daudi Mchambuzi
Kafulila anafahamu kuwa iptl ndio kampuni pekee
inayookoa fedha za watanzania kwenye nishati kwasababu ya
kuwauzia umeme kwa bei nafuu kuliko kampuni anayoipigia
debe na iliyomtuma kuichafua iptl yaani symbioon ambayo
inaiuzia tanesco umeme unit moja kwa zaidi ya elfu moja
wakati iptl inaiuzia umeme tanesco chini ya shiling mia tano
kwa unit na imeanza mazungumzo kushusha umeme hadi sh 90
kwa unit,je haoni anatumika vibaya na kampuni yenye wivu
wa kibiashara kuchafua iptl ambayo ni mkombozi wa tanzania
 
Kustaafishwa kwa mkaguzi na mthibiti wa pesa za serikali na umma ni mwendelezo wa kufunika kile alichokiibuka katika uchunguzi na atakayechateuliwa sasa ni yule atakayaficha madhambi yanayotendwa na serikali ya CCM.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kustaafishwa kwa mkaguzi na mthibiti wa pesa za serikali na umma ni mwendelezo wa kufunika kile alichokiibuka katika uchunguzi na atakayechateuliwa sasa ni yule atakayaficha madhambi yanayotendwa na serikali ya CCM.

Kafulila anafahamu kuwa iptl ndio kampuni pekee
inayookoa fedha za watanzania kwenye nishati kwasababu ya
kuwauzia umeme kwa bei nafuu kuliko kampuni anayoipigia
debe na iliyomtuma kuichafua iptl yaani symbioon ambayo
inaiuzia tanesco umeme unit moja kwa zaidi ya elfu moja
wakati iptl inaiuzia umeme tanesco chini ya shiling mia tano
kwa unit na imeanza mazungumzo kushusha umeme hadi sh 90
kwa unit,je haoni anatumika vibaya na kampuni yenye wivu
wa kibiashara kuchafua iptl ambayo ni mkombozi wa tanzania
 
Tumeshasikia kashfa nyingi sana katika Nchi hii na tutaendelea kuzisikia ikiwa tu sisi tunaokashifiwa hatutafanya maamuzi magumu ya kubadili huu utaratibu wa kulalama na kuwa utaratibu wa kutenda, imefikia sehemu viongozi wetu hawana huruma tena na wanaowaongoza na sisi tunaoongozwa tubadilike.

Ipo hivi, mwaka 2015 kwenye uchaguzi mkuu kutakuwa na picha za wagombea kila kona, jamani nani hajui picha na majina ya mafisadi hapa?.......tuachane nao.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom