BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Mpuuzi wewe!!! Rudi shule ukajifunze kuandika badala ya kukubali kutumiwa na hao mafisadi waliokuokota Kariakoo ulikokuwa ukiuza bangi na kukulipa ujira mdogo ili kuja kuandika pumba hapa jamvini. Hapa tunaongelea wizi wa bilioni 200 za ESCROW hatuongelei mambo ya kuoana mpumbavu mkubwa wee. Jifunze kusoma na kuelewa kilichoandikwa badala ya kukurupuka na kuanza kuropoka pumba. Mxciuuuuuuuuuuuuu
Acha ujinga wewe! yaani minakutia uelevu alafu bado unakakamaa, Kwani Barozi wa UK ndio kitugani? Acha fikra fupi kama SISIMIZI. Barozi wa UK alituletea misisimamo wa nchi yake kuwa tuoane ndio watupe misaada, kwahyo nalo tulisikilize. Acha kupigia magoti mabeberu, sikuzote wanasimamia maslahi yao.

