MANKA MUSA
JF-Expert Member
- Jul 9, 2014
- 924
- 1,096
Mnapata tabu nyie mnao taka kumwelewa!! Mimwezenu siku nyingi nilishagundua kuwa KAFULILA siyo mzima wa akili.
Kafulila ni mchumia tumbo tu then anataka kuwaaminisha watanzania uongo wake kwasababu ya fedha tu alizopewa na mafisadi wa nchi hii,kiukweli inaniwia vigumu sana kuona kiongozi kijana kama kafulila anakubali kurubuniwa kirahisi na kupokea fedha ili akaseme vitu vya uongo bungeni na kuwadanganya watanzania,na wasiwasi sana na huyu mtu anaweza ata kuuza nchi kwa tamaa ya fedha.