shadow recruit
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,844
- 384
mkuu naoana umeingilia mpaka kazi za raisiNi Sababu zipi zilizosababisha Kikwete asimuongozee CAG miezi mitatu kabla ya kustaafu ili amalizie ripoti hii? Je, huyo atayechukua nafasi hii CAG atateuliwa lini? Je, kama atateuliwa hivi karibuni atapewa maagizo na Kikwete kwamba kipaumbele chake cha kwanza kama CAG ni kukamilisha ripoti hiyo ya wizi wa shilingi bilioni 200 za ESCROW au ataambiwa ripoti hiyo haina umuhimu na hivyo kuendelea na "kazi nyingine" ambazo hazina kipaumbele kikubwa kama wizi huu wa pesa za ESCROW?
ongera kwa kujipa majukumu ambayo c yako

Reply