Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!

Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!

Alifika Simiyu ndani ya wiki1 akakuta kampuni ya kimataifa ya CHICCO imejenga Barabara ya 75bn lkn chini ya kiwango na inataka kukabidhi , akairudisha ianze upya. Mmesikia wapi kitu kama tena? Na kabla yake kulikuwa na RC😎

This man ni Patriotic kwelikweli

Hamna lolote, ni mzigo ndio maana katumbuliwa.
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Salum Ally Happi anatoa funzo kubwa kwa Vijana kuwa ukiwa kwenye nafasi tumia pia kuwekeza. Kilimo na ufugaji anaofanya Happi ni WA kuwekeza Kweli Kweli sio wa mtaji wa kutegemea mbolea ya ruzuku. Jamaa alijipanga.
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Naunga mkono hoja
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Unafahamu shughuli ya kipato ya Kafulila ni nini?
 
Siasa ina hela bwasheh
Happi mwenyewe akirudishwa
Jembe analitupa kule
Au nyanya zake ana export nje [emoji1]

Ova
 
Muha gani hana akili ya kujishughulisha nje ya siasa,mbona Waha ni wafanyabiashara wazuri sana.Kila siku Mama Samia, Mama Samia.

Angekuwa anamuhitaji si angebaki madarakani,na kitu hajui ni kwamba Msoga Kingdom hawamtaki kwasababu ya sakata la ESCROW aliloliibuaga Bungeni na kuwaacha uchi akina Werema na vigogo wa serikali awamu ya nne.
Ina maana hajui kama msoga ndio think tank ya maza?
 
Je, tunajua kila shughuli binafsi za Kafulila? Wengine huwa wanafanya kazi zao kimyakimya. Mnataka ajitangaze kwenye mitandao kama Ally Hapi?
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
MACHAWA SIKU ZOTE HAWAWEKEZI KWA AJILI YA AKIBA LAKINI KUNA YULE MBUNGE ASIYE NA CHAMA ataleta POSHO wanayolipwa na CCM
 
Heshima niliyokuwaga nampa Kafulila na Zito dah! Kweli wanasiasa sio wa kuwaamini aisee
 
Muha gani hana akili ya kujishughulisha nje ya siasa,mbona Waha ni wafanyabiashara wazuri sana.Kila siku Mama Samia, Mama Samia.

Angekuwa anamuhitaji si angebaki madarakani,na kitu hajui ni kwamba Msoga Kingdom hawamtaki kwasababu ya sakata la ESCROW aliloliibuaga Bungeni na kuwaacha uchi akina Werema na vigogo wa serikali awamu ya nne.
Mkuu kafulila ni msukuma. Wazazi wake walihamia kigoma akazaliwa huko. Baba yake ni mwalimu.
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Kafulila kingia juzi kwenye game la ccm akina Hapi wako miaka nenda rudi
 
Muha gani hana akili ya kujishughulisha nje ya siasa,mbona Waha ni wafanyabiashara wazuri sana.Kila siku Mama Samia, Mama Samia.

Angekuwa anamuhitaji si angebaki madarakani,na kitu hajui ni kwamba Msoga Kingdom hawamtaki kwasababu ya sakata la ESCROW aliloliibuaga Bungeni na kuwaacha uchi akina Werema na vigogo wa serikali awamu ya nne.
Kafulila anafanya kile alichokuwa wanafanya akina Makala, Mwigulu n.k hata waliopotemwa waliendelea kusifu na baadae wakarudi kwenye gemu.

KAFULILA sio mjinga
 
Back
Top Bottom