Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!

Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!

Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Tumbili awekeze ili iweje? Ataendelea kutafuta nyanya za akina Hapiness
 
Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi

Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji

Alhamis Ubarikiwe sana!
Ukimuona tumbili amepumzika ujue anaomboleza si muda msiba wake waja.


Kwahiyo kuendelea kuruka ruka na kudandia vitu asivyokuwa na uwezo navyo ndo tabia yake halisi.
 
Ukimuona tumbili amepumzika ujue anaomboleza si muda msiba wake waja.


Kwahiyo kuendelea kuruka ruka na kudandia vitu asivyokuwa na uwezo navyo ndo tabia yake halisi.
Kafulila ni mtu makini sana hili hata Rais Samia Suluhu Hassan analijua hili Vema,
 
Back
Top Bottom