Tanzania’s Biggest Whistleblower Visits National Whistleblower Center
The Human Rights Defenders’ 2015 Whistleblower Award recipient, David Kafulila, recently visited the National Whistleblower Center (NWC) in Washington, DC,whistleblowersblog.org
👆🏻kati ya vijana 12 kutoka africa kwenda USA special mission 2017, headline ilikuwa Kafulila, hapo hana ubunge wala udiwani baada ya kupoteza 2015
Alifika Simiyu ndani ya wiki1 akakuta kampuni ya kimataifa ya CHICCO imejenga Barabara ya 75bn lkn chini ya kiwango na inataka kukabidhi , akairudisha ianze upya. Mmesikia wapi kitu kama tena? Na kabla yake kulikuwa na RC😎
This man ni Patriotic kwelikweli
CCM na Serikali yake wote ni wezi na hiyo ni sifa ya wanasiasa wote wa Afrika.Bashiru na yeye Ni Mwizi tu
Kaiba nini?
Salum Ally Happi anatoa funzo kubwa kwa Vijana kuwa ukiwa kwenye nafasi tumia pia kuwekeza. Kilimo na ufugaji anaofanya Happi ni WA kuwekeza Kweli Kweli sio wa mtaji wa kutegemea mbolea ya ruzuku. Jamaa alijipanga.Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi
Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji
Alhamis Ubarikiwe sana!
Naunga mkono hojaWenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi
Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji
Alhamis Ubarikiwe sana!
Unafahamu shughuli ya kipato ya Kafulila ni nini?Wenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi
Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji
Alhamis Ubarikiwe sana!
Ina maana hajui kama msoga ndio think tank ya maza?Muha gani hana akili ya kujishughulisha nje ya siasa,mbona Waha ni wafanyabiashara wazuri sana.Kila siku Mama Samia, Mama Samia.
Angekuwa anamuhitaji si angebaki madarakani,na kitu hajui ni kwamba Msoga Kingdom hawamtaki kwasababu ya sakata la ESCROW aliloliibuaga Bungeni na kuwaacha uchi akina Werema na vigogo wa serikali awamu ya nne.
Arudi CHADEMA au "Inisisiara"?Msigwa, Zuhura na Shaka wapo. Huyo kafulila anamsemea Kama Nani?. Huyo arudi CHADEMA mapema Kama anazo akili. Maana aliyemleta CCM ameondoka.
Muambie.Unafahamu shughuli ya kipato ya Kafulila ni nini?
MACHAWA SIKU ZOTE HAWAWEKEZI KWA AJILI YA AKIBA LAKINI KUNA YULE MBUNGE ASIYE NA CHAMA ataleta POSHO wanayolipwa na CCMWenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi
Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji
Alhamis Ubarikiwe sana!
Mkuu kafulila ni msukuma. Wazazi wake walihamia kigoma akazaliwa huko. Baba yake ni mwalimu.Muha gani hana akili ya kujishughulisha nje ya siasa,mbona Waha ni wafanyabiashara wazuri sana.Kila siku Mama Samia, Mama Samia.
Angekuwa anamuhitaji si angebaki madarakani,na kitu hajui ni kwamba Msoga Kingdom hawamtaki kwasababu ya sakata la ESCROW aliloliibuaga Bungeni na kuwaacha uchi akina Werema na vigogo wa serikali awamu ya nne.
Ubilionare muhimu Kama akina sugu wanalipa Kodi au Mimi hapaManeno matupu hayasaidii taifa isiwe faller
Kafulila ni Tajiri mkubwa hata hivyoMACHAWA SIKU ZOTE HAWAWEKEZI KWA AJILI YA AKIBA LAKINI KUNA YULE MBUNGE ASIYE NA CHAMA ataleta POSHO wanayolipwa na CCM
Kafulila kingia juzi kwenye game la ccm akina Hapi wako miaka nenda rudiWenzako akina Happi wamewekeza kwenye kilimo na wanaajiri watanzania ili kuunyanyua Uchumi wa Nchi
Wewe David aka naniliu bado unadanda danda tu kwenye miti kutafuta mapera, unazeeka bwashee tumia akiba uliyojiwekea kwenye Ubunge, URAS na URC kufanya uwekezaji
Alhamis Ubarikiwe sana!
Kafulila anafanya kile alichokuwa wanafanya akina Makala, Mwigulu n.k hata waliopotemwa waliendelea kusifu na baadae wakarudi kwenye gemu.Muha gani hana akili ya kujishughulisha nje ya siasa,mbona Waha ni wafanyabiashara wazuri sana.Kila siku Mama Samia, Mama Samia.
Angekuwa anamuhitaji si angebaki madarakani,na kitu hajui ni kwamba Msoga Kingdom hawamtaki kwasababu ya sakata la ESCROW aliloliibuaga Bungeni na kuwaacha uchi akina Werema na vigogo wa serikali awamu ya nne.
We kafulila una utajiri gani? Sema pole sana Baba yako alikuacha.Umebaki kama yatima.Kafulila ni Tajiri mkubwa hata hivyo