Kafulila hukuwekeza kama wenzako akina Ally Happi utakuwa mpiga tarumbeta hadi lini? Unazeeka sasa!

Anaofanya kwa sasa sio Siasa ni Uchawa baada ya kupoteza fursa
 

Si unajua watu wa Kigoma wabishi sana, si ajabu anajiona yeye bado bora sana na kutoa toa statistics za kusifia sifia ili ateuliwe tena, huenda anaona mbona Chalamila karudishwa, na mm lazima bana, hajui things don't go or work that way..!!

Msaidieni awaze kufanya kazi zingine, maana kama haamini kaondolewa uRC, kama vile anaota ha ha haaa, mpigie simu, mwambieni Kafulila, ww sio RC tena kama hajaelewa mtumie sms rangi nyekundu..!! πŸ˜‚πŸ˜‚ mijitu mingine akili sifuri or negative kabisa, ila naona lile jina lake aliambiwa bungeni linabeba uhalisia kwa tabia yake Kafulila aisee..!! Asituaminishe ni tumbili kweli 😊
 
Serikali yetu imeshageuzwa mtambo wa kurecycle watendaji wake.
 
Afungue duka ameshindwaje muha Bill duka inaishije

Alfu Sasa alizoea Kuja kufatwa na v8 said mbili apelekwe ofcn Sasa HV akiamka anacheki sillingbord
 
Wivu mtoto wa kiume utaacha linj?

Maisha yake unaendeshaga wewe?

Kafulila shikilia hapo hapo wakere zaidi Hadi waaibike
 
A. Happi mjanja sana aisee, yaan kagundua fika kuwa wakati haipo upande wake,, akaamua kuingia zake kilimoni tena as faster as does thunder!
 
Kafulila ni mvivu sn hawezi kuwekeza chochote anasubiri uteuzi
 
Hivi ni sababu gani zilipelekea kutumbuliwa wakati ndie alikuwa Bingwa wa kusifia na kutoa siku saba πŸ˜†πŸ˜€

Hebu guugo rimming alikuwa bingwa.

Nilicheka sana niliposikia amefukuzwa kazi.
 
Wivu tu, na Ww kua chawa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23]
 
Hivi ni sababu gani zilipelekea kutumbuliwa wakati ndie alikuwa Bingwa wa kusifia na kutoa siku saba πŸ˜†πŸ˜€

Hebu guugo rimming alikuwa bingwa.

Nilicheka sana niliposikia amefukuzwa kazi.
Unamjua Rugemalira Bilionea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…