Kafulila: Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo

Kafulila: Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo

Actual jibu huwezi pata ila projection utapata.

Pia Kwa kuwa Nguvu ya Uchumi wetu inaongezeka automatically Dolla itakuwa ndogo zaidi.

Mwisho hakuna sababu ya kutumia Dola kupima thamani ya pesa yetu Bali pesa yetu itakuwa na uwezo wa kununua vitu kiasi gani? Purchasing power parity ndio jambo la msingi.
Naomba hiyo projection!
 
kipato cha kati ya 4500 hadi 8000 mbona tofauti ni kubwa sana maana yake hawana uhakika. kipato cha 4500 ni kidogo mno
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Kwa sisiemu hii. Na upuuzi huu wakutekana ..?
 
Hoja za kipuuzi kama hizi hazitakiwi kuwa humu Jamii forum kwa Great thinkers , wewe kiazi na huyo Kafulila wako mmeshaoiga hesabu kuhusu kasi ya mfumuko wa bei katika bidhaa na huduma nchini na kushuka kwa thamani ya pesa ya Tanzania shilingi hadi kufikia mwaka 2050 na kujua kwamba hiyo milioni kumi na mbili mwaka 2050 itakuwa na purchasing power kiasi gani ? , au hiyo milioni kumi na mbili ya sasa ndio mnajiaminisha kwamba itakuwa na thamani sawa na milioni kumi na mbili ya 2050 ?
Kama kasi ya thamani ya shilingi inaporomoka kwa kasi kila siku na mfumuko wa bei unazidi kuongezeka humu nchini ,na hili kila mmoja anajionea ,hiyo projection ya mean annual income ya milioni kumi na mbili kwa mwaka kwa mwaka 2050 ni upuuzi na ugumu wa maisha na umasikini kwa mwananchi na living standards bado zitakuwa ovyo .
Stability na appreciation ya thamani ya fedha + kupungua kwa mfumuko wa bei ndio huwa key Kwa kupunguza umasikini kwa mwananchi na kuwa na uimara wa uchumi na si hizi bra braaa za kiseng£ kulamba makalio ya wanasiasa ili kushibisha matumbo yenu ,mazafakaz .
Mimi sio mchumi ila nadiriki kusema wachumi wa Tanzania hawana akili .
Mimi niliyesoma commerce na book keeping ya kidato cha kwanza hadi cha pili , Nina akili ya uchumi na fedha kuliko hawa wapuuzi wanaojiita economists and financial planners WA hii Nchi , a bunch of lunatics
Na mmoja wapo ni huyu kiazi Kafulila
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Li
 
Zinaweza kuwa chini zaidi ya Sasa maana Uchumi wetu utaongezeka zaidi kuliko wa USA
Labda tutazidi uchumi wa USA kwa ninyi machawa uchwara kunengua viuno na kuuza papuchi zenu na puru hapo Lumumba Kwa Makada uchwara wa chama cha mazezeta Tanzania
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Bila CCM itakuwaje?
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Kwakweli hapa tuombe Uzima TU,

Asante Rais SAMIA
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
2050 CCM itakuwepo?
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Viva CCM Viva, Viva Samia Viva
 
Back
Top Bottom