Kafulila: Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo

Kafulila: Ifikapo mwaka 2050 kipato cha kila Mtanzania kitakuwa kati ya TZS 12M na 20M pato la Taifa litafikia $700bn mara 9 zaidi ya leo

Hata Mimi nakubaliana na wewe betting ifutwe Kabisa
Lazima tuwekeze kwenye kufanya kazi hizi shortcuts za utajiri ni hatari sn kwa ustawi wa taifa letu, mijadala ya vijana 95% ni Simba na Yanga, pombe, wanawake, ushirikina, betting, wizi, uchawa hakuna mafundisho ya kujenga hata kidogo
 
Wale watakaobahatika Uhai na kuwepo Mwaka 2050

Mkishindwa kuwa na Kipato cha milioni 12 Kwa Mwaka, na wastani wa milioni 1 Kwa Mwezi kama alivyosema Bwana Kafulila Kwa niaba ya Serikali

Jitahidi mkamchape viboko, maana wameona kawaida kuwahadaa Watanzania
 
Wale watakaobahatika Uhai na kuwepo Mwaka 2050

Mkishindwa kuwa na Kipato cha milioni 12 Kwa Mwaka, na wastani wa milioni 1 Kwa Mwezi kama alivyosema Bwana Kafulila Kwa niaba ya Serikali

Jitahidi mkamchape viboko, maana wameona kawaida kuwahadaa Watanzania
Huenda atakuwa ndio Rais wa nchi kwa wakati huo ya Mungu mengi
 
Awawekee na hesabu za inflation ili mjue thamani ya sh 12M ya 2050 ni nini (purchasing power parity).
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Namkubali sana Rais Samia pamoja na Bwana Kafulila kwa nia njema kwa Taifa
 
Huenda atakuwa ndio Rais wa nchi kwa wakati huo ya Mungu mengi
Iwapo atalinda afya yake

Maana huyo Kafulila kwasasa hakosi miaka 48+

Kwahiyo miaka 25 mbele kufikia 2050 atakuwa maybe na 75 ama zaidi
 
L
Awawekee na hesabu za inflation ili mjue thamani ya sh 12M ya 2050 ni nini (purchasing power parity).
Lakini inflation ni undetermined, unprojectable huwezi kuisema Leo itategemea na matukio ya wakati huo kama Calamities na mengine
 
View attachment 3179123
YAJAYO YANAFURAHISHA SANA

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa X zamani tweeter,

Kafulila akiifafanua Dira ya Maendeleo ya Taifa la Tanzània ya 2025- 2050 amesema yafuatayo,

1. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu kuwa chini ya CCM hii na ifikapo mwaka 2050 Uchumi wa nchi yao utakua kwa Kasi na kufikia $700bn sawa na TZS 1,750 Trilioni.

2. Kafulila amewataka pia Watanzania watambue kuwa chini ya CCM hii Pato lao la mwaka litakuwa na kufikia kati ya $4,500 na $8,000 kwa mwaka yaani hapa karibu kila mtu itakuwa ni kula bata tu Cha msingi tuombe Uzima tu.

3. Kafulila amewataka Watanzania wafahamu yakuwa chini ya CCM hii vipato vyao na Pato la Taifa lao vitaongezeka kwa karibu mara tisa (9) zaidi hii hakuna nchi yoyote itaweza ila Tanzània na Watanzania.

4. Kafulila amewataka pia Watanzania wafahamu kuwa Uchumi wao kwa Sasa ni $80bn lakini chini ya CCM hii na kwa Miaka 25 ijayo utaongezeka kwa Kasi karibu mara 9 zaidi na kufikia 700bn na kuifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi Tajiri zaidi Africa na hii ni chini ya CCM.

5. Kila Mtanzania na afahamu ukuaji huu mkubwa wa maajabu wa Uchumi wa Tanzania na wa mtu mmoja mmoja ni chini ya CCM tu na wala sio vinginevyo.
Itakuwaje chama kingine kikitwaa mamlaka?
 
hapo fungu la nyanya litakua laki nne
 
Back
Top Bottom