mawazo haya sio mapya yalikuwepo wakati wa utawala wa mwinyi na mkapa tukaua mashirika yetu yote zaidi ya mianne, falsafa hizi zilianzishwa wakati wa tume ya Poul Bomani ya kurekebisha uchumi, yakatekelezwa na waziri wa fedha wa wakati ule Cleopas Msuya, wakati mwl anasatafu mashirika manne yaliingia mikataba hii ikiwemo TBL TCC NBC General tyre, utawala uliofata ukaja na mawazo ya kafulila tukavurunda hujapata ona, sasa huyu mtoto wa juzi kasoma kabrasha moja ofisini kwake, au kapiga story sijui na mstaafu gani anatuletea as if ni mawazo mapya kabisa.
hebu atuambie haya mawazo yalistafanyika wapi na yakaleta mafanikio maana kwetu wakati wa mwinyi mkapa yalidondokea ugoko