Tetesi: Kafulila kuwa mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
 
so what?
 
Hii kitu inauma sana, sisi makada tunahangaika kutetea chama ila vyeo wanapewa wapuuzi tu wasiojua uchungu wa chama.

Ndio maana kada mwenzangu Troll JF kaamua kukaa kimya!
Hahahahaaaa,,,umemsahau mrembo Elitwege sijui kafia wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…