DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Makada makanja nja Kama wewe hawatufai awamu hii ya mwendo wa hapa kazi TU.Hii kitu inauma sana, sisi makada tunahangaika kutetea chama ila vyeo wanapewa wapuuzi tu wasiojua uchungu wa chama.
Ndio maana kada mwenzangu Troll JF kaamua kukaa kimya!
Utendaji na ufanisi uliotukuka indio key factor ndani ya CCM mpya.
Kidumu Chama