Tetesi: Kafulila kuwa mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni

Tetesi: Kafulila kuwa mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni

Hii kitu inauma sana, sisi makada tunahangaika kutetea chama ila vyeo wanapewa wapuuzi tu wasiojua uchungu wa chama.

Ndio maana kada mwenzangu Troll JF kaamua kukaa kimya!
Makada makanja nja Kama wewe hawatufai awamu hii ya mwendo wa hapa kazi TU.

Utendaji na ufanisi uliotukuka indio key factor ndani ya CCM mpya.

Kidumu Chama
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
Daaa ina maana CCM yenye wanachama 8m+ haina watu wanaofaa kwa uteuzi mpaka i-outsource?
 
Makada makanja nja Kama wewe hawatufai awamu hii ya mwendo wa hapa kazi TU.

Utendaji na ufanisi uliotukuka indio key factor ndani ya CCM mpya.

Kidumu Chama
Wanasiasa wetu wanavunja moyo!!
Wako kimaslahi zaidi. Hizi ndio nguvu za katiba inayomfanya mtu kuwa mungumtu na hulazimika kuabudiwa [emoji40] [emoji85]
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
Hapa Africa ukijifanya mpinzani saaana utakufa maskini ,na utasahaulika bora uwe ndumilakuwili au tapeli wa siasa utakula meza moja na wakuu.
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.

Ndio alichokifata uko Ccm, Masha na wenzake watapewa vyeo siku sio nyingi.
 
Sio kitu cha kushangaza Lowasa,Sumaye,Masha,Mgeja waliingia Chadema siku moja wakakaribishwa hadi chumbani kwa kupewa ujumbe wa kamati kuu,sembuse Kafulila kupewa uRC??
 
Raisi wetu anachukia rushwa na ndani ya CCM wenye uwezo wa kushika hicho cheo wameisha!!!!

DC wa Arumeru alianza kwa kununua madiwani,ssasa huu usajili uliorasimishwa Ikulu kwa kupokea na kuuzinisha sijui raisi atasema hajahusika!!!
 
Maana yake atakuwa anapata 3mil kwa mwezi
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
WAHA MNA SHIDA.BONGO KUWEPO NI BAHATI MBAYA.KILA KITU NI BANYAMULENGE
 
Sio kitu cha kushangaza Lowasa,Sumaye,Masha,Mgeja waliingia Chadema siku moja wakakaribishwa hadi chumbani kwa kupewa ujumbe wa kamati kuu,sembuse Kafulila kupewa uRC??
Kwani nani anayeshangaa?!!! Kama hawakumshangaa Prof Kitila wanaanzaje kumshangaa David?
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
Swala ni wale walimwita tumbili wamefanywa nn ccm ni ile usanii unaendelea wapo kwa ajiri ya matumbo yao na familia zao ni km ndugu zetu wazimbambwe km unafikiria kutakuwa na mabadiliko yyote unapoteza muda wako Emmerson Mnangagwa ni Hatari bora hata babuu subiri mienzi 6 tuanza kusikia vilio km leo tunavyomlilia mkwele...
 
Back
Top Bottom