Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hebu tuyajue hayo majiziKuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.
Sidhani!!Kafulila anaenda kumzika Zitto kisiasa!
Yapo segerea mkuu!!hebu tuyajue hayo majizi
Jamaa pamoja na kudhurumiwa ubunge mchana kweupe na mahakama kumchinjia baharini, bado anaona huo upande kwake ni sawa,wakati haki zake zote kapokonywa kwa makusudiHawahami na matatizo ya wananchi kwahiyo hawatusaidii.
[emoji45] [emoji12] [emoji12]Itakuwa jambo jema sana angalau tumbili apunguze machungu
siyajui mkuu hebu nipe dondooYapo segerea mkuu!!
hakuna anayeweza kushangaa kwa kweli kamaLissu aliweza kumsema na kumsafisha Lowassa la kafulila ni dogo sanaKwani nani anayeshangaa?!!! Kama hawakumshangaa Prof Kitila wanaanzaje kumshangaa David?
Hakika mkuu!!hakuna anayeweza kushangaa kwa kweli kamaLissu aliweza kumsema na kumsafisha Lowassa la kafulila ni dogo sana
Vipi tetesi kuhusu wateule watarajiwa wengine?Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.
Hayo majizi ya Escrow yako wapi kama bado yapo CCM ajiandae kupambana nayo humo humo ndani.Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.
Tumbili kama namuona vile!!View attachment 635885MR PRESIDENT
Mkuu wewe ni mgeni hapa mjini hadi usijue alipohifadhiwa Singasinga!!Huyo majizi yako wapi au atakutana nayo humo humo CCM.
Mbona majizi yaliyogawana hizo pesa bado anayo ndani ya ccm?Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.
Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.
Na tusubiri muda utaongea!.