Tetesi: Kafulila kuwa mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni

Tetesi: Kafulila kuwa mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni

Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
hebu tuyajue hayo majizi
 
Na kwa jinsi Sizonje alivyo na chuki lazima atamwambia "tumbili' huyo mkeo sii atatoa siri za serikali utakazo mwambia?
Sharti ajiuzulu au nikufukuze! Hapo ndio tumbili atakapojua kuwa kaingia kwenye himaya ya uchwara.
Nimekumbuka alivyomwambia Bulembo kuhusu binti yake kupewa mahanjamu na kijana mbunge Wa upinzani na kuambiwa muonye!
 
Screenshot_20171122-204818.png
MR PRESIDENT
 
tena apewe haraka kabisa!!!hivi siyo mwanasheria?angefaa kwenye mahakama yamafisadi
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
Vipi tetesi kuhusu wateule watarajiwa wengine?
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
Hayo majizi ya Escrow yako wapi kama bado yapo CCM ajiandae kupambana nayo humo humo ndani.
 
Shida ni njaa tu,siasa za bongo ovyo,ko sa ivi maendeleo ni kuhama tu bac
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
Mbona majizi yaliyogawana hizo pesa bado anayo ndani ya ccm?
 
Back
Top Bottom