johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #81
Chama ndio kinaimarika mkuu!Na hii ndio itakimaliza chama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama ndio kinaimarika mkuu!Na hii ndio itakimaliza chama.
Mkuu jumba la sanaa limekuwa jumba bovu!!Amefanya maamuzi sahihi kutoka Jumba la Sanaa.
Anafikiriwa mkuu!!kwani troll jf naye kakosa?
Chama ndio kinaimarika mkuu!
Akijiuzulu mama anaweza kupewa hata u-DEDSiasa bhana acha tu
Mkewe ni mbunge wa chadema Viti maalum atajiuzulu hiyo nafasi au
Nyumba itakuwa na upinzani baba CCM na Mama Chadema itawezekana hilo kweli?
Au jamaa kaanza kuhisi mkewe anaibiwa anavyohuzulia vikao vya bunge na majukumu mengine ya kibunge? Ila hapa mama kapewa mtihani akitaka ndoa isiyumbe akubali kujihuzulu ubunge ili sense na mumewe uko haendako maana ndoa haiwezi kuwa sawa mama awe mbunge chadema afu baba kada ccm afu apewe ukuu wa wilaya
Ndani patakuwa hapakaliki na ndoa itakufa hapa Jesca kafulila ajitathmini tu
Kama itakuwa hivyo kuna majitu kule CCM yatafula nusura yapasuke! Hebu fikria jitu kama li-dada Eliza Boni waje waliache litajisikiaje?Na katambi possibly
Sasa mkuu mtu kama le mutuz pamoja na ukweli kuwa amekisotea chama unaweza kumpa cheo kipi? Na watu aina ya le mutuz ndani ya chama ndio wako wengi lakini CCM mpya inahitaji watu aina ya Polepole, NW Mavunde na huyu Kafulila maana hawa wanasema na kutenda!!!Kwa kuzirudisha oil chafu kwenye injini na kuwapa uongozi. Sawa lakini naona kuna walakini. Hebu fikiri, kuna watu wamesotea bench miaka nenda miaka rudi. Hawajathubutu kusema nahama, hao oil chafu walichoka kusubiri wakahama. Wakakitukana chama kwa nguvu zao zote. Leo wamerudi, wakawakuta wale wa kusotea wapo pale pale. Wamepewa u dc wadhani wanajisikiaje? Ni swali tu wala sio uchochezi wala ushauri. ni swali tu. Kwani hamshauriki
Matumbo....Hawahami na matatizo ya wananchi kwahiyo hawatusaidii.
Endelea kulala happy Ufipa. Waliojitambua wanazidi kwenda mbeleHawahami na matatizo ya wananchi kwahiyo hawatusaidii.