Tetesi: Kafulila kuwa mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni

Tetesi: Kafulila kuwa mmoja wa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni

Huyo ndio politician ambaye yupo kwa maslahi yake tyu sio kupambania nchi kwa shida zote
 
Kafulila kasahau kuwa Upinzani ndio umemfikisha hapo alipo! Je angekuwa huko Magambani angeweza kuraise issue ya Escrow?
 
Tunamkaribisha sana japo wakuu wa wilaya nao vyuma vimekaza sana
 
Makada makanja nja Kama wewe hawatufai awamu hii ya mwendo wa hapa kazi TU.

Utendaji na ufanisi uliotukuka indio key factor ndani ya CCM mpya.

Kidumu Chama

Kama wa Bashite [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
Ukuu wa wilaya haumtoshi kinana anapaswa kuwa mkuu wa mkoa..
 
Wanaohama wanahama na matatizo ya wananchi?
 
Kuna fununu kwamba mbunge wa zamani wa Kigoma kusini ndugu Kafulila atajiunga na CCM wakati wowote kuanzia sasa na atakuwa miongoni mwa wakuu wa wilaya wapya watakaoteuliwa hivi karibuni.

Inasemekana Rais Magufuli alifurahishwa na namna David alivyosimama kidete katika kashfa ya escrow na kuyaumbua " majizi" licha ya vitisho alivyokuwa anapewa.

Na tusubiri muda utaongea!.
Anaweza,amteue.
 
Hii inasaidia vipi kuinua hali za wananchi wasio ishi kwa vyeo!!
 
Back
Top Bottom