Pre GE2025 Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

Pre GE2025 Kafulila: Kwa mara ya kwanza chini ya Rais Samia Tanzania imefanyiwa Tathimini na International Credit Rating Agency na kuibuka Vinara

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sahihi kabisa crde Uchumi umekua kwelikweli, Mungu ambariki sana Samia.
Mungu aendelee kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania. Tunamshukuru sana Mheshimiwa David Kafulila kwa kazi kubwa anayoendelea kuifanya katika kuisemea serikali juu ya mambo mbalimbali yaliyofanywa na serikali yetu pamoja na kazi nzuri anayoifanya pale PPP.
 
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Huyu dogo wangu ana akili sana. Angeiweka Simiyu pazuri. Wanyantuzu ni washamba sana, Bariadi watu hawajui lugha ya Taifa? Sasa nenda Kisesa, Mwanhuzi, Mwandoya. Mpina mwenyewe hajui kiswahili. Ni masikitiko
 
Mungu aendelee kumjalia afya njema na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania. Tunamshukuru sana Mheshimiwa David Kafulila kwa kazi kubwa anayoendelea kuifanya katika kuisemea serikali juu ya mambo mbalimbali yaliyofanywa na serikali yetu pamoja na kazi nzuri anayoifanya pale PPP.
Jamaa anastahili pongezi anawakamua CHADEMA ile mbaya 😆😆
 
Huyu dogo wangu ana akili sana. Angeiweka Simiyu pazuri. Wanyantuzu ni washamba sana, Bariadi watu hawajui lugha ya Taifa? Sasa nenda Kisesa, Mwanhuzi, Mwandoya. Mpina mwenyewe hajui kiswahili. Ni masikitiko
Acha afanye kazi ya Kisayansi huo URC hata Mimi naweza
 
Credit rating ni screening ya wateja wote wa Mikopo walio serious wanaokopa kwenye taasisi Serious.

Credit rating ndio itakufanya iendelee kukopa au uache kukopa.

Ova!
Umefikia huko sababu mwanzoni ulikua hukopi hovyo hovyo.Now inabidi uangaliwe vilivyo.
 
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Siku hizi kila kitu ni uongo, Siasa za Tanzania lazima uwe mwongo. Rating haikuanza wakati wa Samia, Moody, Fitch na Standard & Poor walianza kabla ya hapo, Moody walianza mwaka 2008; Tanzania ikawa na Sov Rating ya B,

Kila kitu uchawa uchawa tuu!!
 
Siku hizi kila kitu ni uongo, Siasa za Tanzania lazima uwe mwongo. Rating haikuanza wakati wa Samia, Moody, Fitch na Standard & Poor walianza kabla ya hapo, Moody walianza mwaka 2008; Tanzania ikawa na Sov Rating ya B,

Kila kitu uchawa uchawa tuu!!
Unaweza kutupa source ya Taarifa yako?
 
Hapana ni hitaji la taasisi kubwa kama WB& IMF
Miaka yote hiyo Tanzania alikua ni mwanachama wa hizo Taasisi Sasa why haikufanyika? Unaelewa maana ya rating? Unawekwa kwenye mizania Au viwango vya kukopesheka Au lah.
Nzuri
Mbaya
Nzuri zaidi
Tulikua A now Tuko B+
 
As long as Tanzania kuna idadi kubwa ya banks jua fika riba za mikopo ni kubwa ndio na loopholes ni nyingi ndio maana investors wamekuja kwa wingi ili wapate supernormal profit-na wanazipata kweli.

That's means hizo banks zinakopesha hela nyingi kwa Serikali na watu wachache kwa riba za juu huku majority kubwa ya Wananchi hawana vigezo vya kukopa.Just imagine kwa akili ndogo kama hizi banks zote zilizopo Tz zingekuwa zinakopesha watu wengi wa kati na wadogo-huu uchumi wa Tanzania ungekuwa hivi?

Kafulila anaongea hapo kisisasa kwa kujipendekeza na akijua fika hakuna Watanzania hata wanasoma report za finance kutoka BOT kujua ukweli.
 
Kwa hakika awamu ya sita inastahili pongezi sana kwa namna ilivyofanya kazi kubwa ya kukuza uchumi wetu ndani ya muda mfupi, katikati ya uchumi mbaya ya Duniani uliotikiswa na mambo mbalimbali lakini Rais wetu na serikali yake ameleta nuru na mwanga katikati ya Giza lankiuchumt Duniani kwote.
Nakuelewa sana kada Machachari
 
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Dogo kawa Chawa kupitiliza
Nchi Haina hata umeme wa kuwasha koroboi
Alafu chawa anasifia ujinga tu
 
" Chini ya awamu ya sita kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania tumefanyiwa Credit rating ( solicited ) kama Taifa.

Hata hivyo Tanzania tumefanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Africa Mashariki EAC na baadhi ya nchi nyingi za SADC tukiwa vinara kwa B+.

Tathimini hiyo iliyofanywa na taasisi maarufu na zakuaminika zaidi duniani za MOODY'S na FITCH ambazo pia ni vinara duniani katika kazi hiyo,

Huu ni ushahidi kuwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anajenga uchumi wa kisasa na kuiweka nchi kwenye mizania bora zaidi ya kupimika kiuchumi kwenye medani za uchumi kidunia"

Amesema hayo David Kafulila, Mkurugenzi wa Kituo cha UBIA kati ya Serikali na Sekta Binafsi ( PPP) wakati akihojiwa kwenye kipindi cha DK 45.

Kafulila ameongeza kwamba Tathimini hizi zinachangia na kuongeza zaidi imani ya uwekezaji na wakopeshaji kwani zinapima afya ya uchumi wa nchi yetu kwa uhuru na uwazi zaidi.

Mkurugenzi David Kafulila anaendelea kwa kusema, nadhani inafahamika kwa wote hata katika benki zetu za kawaida tu kwenye mikopo ya kibiashara,

Wewe ukiwa imara kiuchumi ukienda benki kukopa watakukopesha kwa masharti nafuu zaidi kuliko ukiwa hoi kiuchumi (desperate) ambapo utaambulia masharti magumu kama ya mikopo ya kausha damu.

Hongera kwake Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa na nzuri anazozifanya katika kusisimua na kukuza uchumi wetu.

Changamoto ni nyingi ni kweli lakini nchi ipo kwenye mstari sahihi na inazidi kuchukua sura mpya katika ujenzi wa uchumi wa soko kikanda na Kimataifa "

Samia ni kiboko ya wasio na akili ,anafundisha maana ya Uongozi 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7Y4SZ-t_B7/?igsh=MXE0N2t2d2p3bGc4YQ==
 
Back
Top Bottom