Serikali ina uhakika gani sera ya PPP itakuwa na matokeo mazuri? uko wapi mradi wa majaribio wa PPP? Jana ameongelea DART leo SGR kesho ATCL..mtu wa aina hii unaweza kuamini anachokisema? Ukimwamini utakuwa mjinga zaidi ya ujinga alio nao yeye!Mkuu,
Nadhani mambo ya Serikali ni mambo ya wengi
Nadhani tuamini anachotuambia kwani hata hivyo hana muda mrefu kwenye hii nafasi.
Rais Samia ameshamiria kuinua uchumi wa Watanzania wote.
#2025 MAMA MITANO TENA
Balhresa Hana shida Uganda Railway Yuko kule na ndio Mwekezaji mkubwa ana uzoefu na mkurigenzi WA TRC alimtaja kuwa NI mmojawapo WA waliosema wako wako tayari wengi Tu wataweza Kwa ajili ya kusafirisha mizigo Yao wakiwemo Akina Dangote Cement,kampuni kubwa za mafuta NKBakhresa atanunua tu,siku nimekuta treni inavuta behewa zaidi ya kumi za Azam pekee.
Ni ngumu sana kuiua SGR amini hii kitu nakwambia
Reli inatakiwa kuwa busy kama barabaraNaangalia utekelezaji wake maana wanaiona hiyo SGR kama barabara ambayo magari yanaweza kupishana kirahisi.
Kama zimejengwa line mbili mwanzo mwisho sina pingamizi.Reli inatakiwa kuwa busy kama barabara
Haiwezekani kuna maeneo ukiona treni ni kila baada ya siku mbili au Tatu au baada ya masaa 10 kibiashara ya treni hailipi Sana inatakiwa walau kila masaaa mawili au moja Tu kuna treni unaiona
Watanganyika baada ya kukopa matrilioni kujenga SGR sasa tunatayarishwa kisaikolojoa kuibiwa kupitia hocho kinachoitwa PPP. Kwa nini tusiendeshe welnyewe kama tumeweza kujenga tunashindwaje kuendesha?===
Mkurugenzi wa Ubia nchi Bwana David Kafulila ameiambia ARIDHIO ya TBC kuwa Sasa ni rasmi mtu au kikundi chochote chenye Uwezo na nia ya kununua na kuendesha vichwa na treni za SGR wanakaribishwa kufanya hivyo Kwa sharti la Ubia na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Kafulila anasema kama ilivyo kwa miundombinu ya usafiri na usafirishaji ya Serikalí akitolea mfano wa barabara kuna watu wamenunua Mabasi na wanayaendesha na Serikali inapata kodi lakini kubwa ni Wananchi kupata huduma Bora huduma nzuri na kwa wakati ndivyo itakavyokuwa kwa SGR huku akitolea mfano wa mradi mkubwa kati ya DART na Mbia ambao kwa kiwango kikubwa uko tayari na mabasi zaidi 170 yanaletwa kwa kuanzia.
Kafulila anasema Serikali inafanya haya ili kuchachusha Uchumi wa nchi ( economic stimulus ) ambayo ndio hasa sera za Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan na kwa sera hizi ndio zinaifanya Tanzania kuendelea kusalia kileleni kwenye nchi zote za maziwa makuu.
View attachment 3057496
Wao wenzake walioongea kabla yake ni Wakurugenzi wa Ubia?Waziri kaongea kabla Yake
Mkurigenzi WA TRC Kadogosa aliongea kablabyake kuhusu hilo Yeye anadakia wenzie waliyoongea kabla Yake kuongea hiyo Ardhio TBC kutafuta ujiko
Wenzie waliongea kabla yake
Yeye atusaidie kujibi uongo wake aliosema Kuwa mwenfo kasi Mwekezaji ndie atatanunua mabasi wakati Mchechu kasema mabasi yatanunuliwa Kwa mkopo ambao serikali itakopa Benki ya NMB
Aseme hapa mabasi ananunua Mwekezaji au serikali? Alanushe uongo wake aliongea kwenye kipindi cha mahojiano na TV
Hii reli bado sana kuingia kwenye mfumo huo wa soko jambazi Rostam azizi na genge lake la wahuni na raia feki wanatolea macho huu mradi ili wautie mifukoni mwao kama walivyo fanya kwenye gesi na mbuga za wanyama nk===
Mkurugenzi wa Ubia nchi Bwana David Kafulila ameiambia ARIDHIO ya TBC kuwa Sasa ni rasmi mtu au kikundi chochote chenye Uwezo na nia ya kununua na kuendesha vichwa na treni za SGR wanakaribishwa kufanya hivyo Kwa sharti la Ubia na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Kafulila anasema kama ilivyo kwa miundombinu ya usafiri na usafirishaji ya Serikalí akitolea mfano wa barabara kuna watu wamenunua Mabasi na wanayaendesha na Serikali inapata kodi lakini kubwa ni Wananchi kupata huduma Bora huduma nzuri na kwa wakati ndivyo itakavyokuwa kwa SGR huku akitolea mfano wa mradi mkubwa kati ya DART na Mbia ambao kwa kiwango kikubwa uko tayari na mabasi zaidi 170 yanaletwa kwa kuanzia.
Kafulila anasema Serikali inafanya haya ili kuchachusha Uchumi wa nchi ( economic stimulus ) ambayo ndio hasa sera za Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan na kwa sera hizi ndio zinaifanya Tanzania kuendelea kusalia kileleni kwenye nchi zote za maziwa makuu.
View attachment 3057496
Ubia na serikali bado hautakuwa na tija. UDART hata ile UDA ilikuwa ni ubia lakini matokeo yake kila mtu anajua. Serikali ingetengeneza tu miundombinu na kuwaachia watu waweke treni zao kama yenyewe haiwezi kuendesha.Huu uzi ngoja nimtag mwanangu
MamaSamia2025
Unamsikia kafulila anataka watanzania wakawekeze hapo 😄
Au sisi ndiyo mwisho wetu viwanda vya pombe,juice unga soda nk
Ova
DART mchakato unaendelea kama walivyokwambia,SGR ndio milango imefunguliwa hapo tatizo ni wapi?Serikali ina uhakika gani sera ya PPP itakuwa na matokeo mazuri? uko wapi mradi wa majaribio wa PPP? Jana ameongelea DART leo SGR kesho ATCL..mtu wa aina hii unaweza kuamini anachokisema? Ukimwamini utakuwa mjinga zaidi ya ujinga alio nao yeye!
Hiyo njia Haina mzigo wowote wa maana kumfanya Mwekezaji aweke treni yake
Jibu zuri sana hili,nakuunga mkonoDART mchakato unaendelea kama walivyokwambia,SGR ndio milango imefunguliwa hapo tatizo ni wapi?
Ubia na serikali bado hautakuwa na tija. UDART hata ile UDA ilikuwa ni ubia lakini matokeo yake kila mtu anajua. Serikali ingetengeneza tu miundombinu na kuwaachia watu waweke treni zao kama yenyewe haiwezi kuendesha.
🤣🤣🤣Huu uzi ngoja nimtag mwanangu
MamaSamia2025
Unamsikia kafulila anataka watanzania wakawekeze hapo 😄
Au sisi ndiyo mwisho wetu viwanda vya pombe,juice unga soda nk
Ova
Mkuu wa uwekezaji ndio nini?Mchechu na ndie msimamizi mkuu wa uwekezaji anasema serikali itakopa kuweka mabasi barabarani hayo mabasi serikali itakopa Kwa niaba ya Mwekezaji au?
Uongo hauna maisha ajibu hilo
Watanzania uwekezaji wetu ni upande wa kukata mauno,mabar lounge, frame,biashara za juice soda
Bakhresa atanunua tu,siku nimekuta treni inavuta behewa zaidi ya kumi za Azam pekee.
🤣🤣🤣Watanzania uwekezaji wetu ni upande wa kukata mauno,mabar lounge, frame,biashara za juice soda
Ova
Chawa na Wachumba wa Tumbiri katika ubora wenuKafulila ni mtu wa msaada sana kwa Taifa ila hajatumika ni brand new