CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
- Thread starter
-
- #41
Ni wazi zuri piaWahenga wanasema "Kuchamba kwingi mwishowe utatoka na kinyesi".
Hebu tuipe muda hii SGR iwe stable kwanza tuache huku kuchambachamba, angalau tufanye 5yrs with close competent supervision
Ni TUMBILI, hulka yake kuruka ruka Toka tawi hili mpaka lileWaziri kaongea kabla Yake
Mkurigenzi WA TRC Kadogosa aliongea kablabyake kuhusu hilo Yeye anadakia wenzie waliyoongea kabla Yake kuongea hiyo Ardhio TBC kutafuta ujiko
Wenzie waliongea kabla yake
Yeye atusaidie kujibi uongo wake aliosema Kuwa mwenfo kasi Mwekezaji ndie atatanunua mabasi wakati Mchechu kasema mabasi yatanunuliwa Kwa mkopo ambao serikali itakopa Benki ya NMB
Aseme hapa mabasi ananunua Mwekezaji au serikali? Alanushe uongo wake aliongea kwenye kipindi cha mahojiano na TV
Wapo wengi Mrangi sema wanaangalia faida tena wapo hata wa kuinunua hiyo ikitangazwa ni vile hela zao nyingi zikionekana na hesabu ya TRA inaanzia hapo...Hakuna mtanzania mwenye jeuri wa kuweka behewa hapo
Ova
Unafungua milango kwa PPP ya SGR ya nini, wakati hata hiyo ya DART hujaanza..? una uhakika gani PPP ya DART itafanikiwa? na hivyo hata PPP ya SGR pia itafanikiwa..DART mchakato unaendelea kama walivyokwambia,SGR ndio milango imefunguliwa hapo tatizo ni wapi?
Katika jambo lolote ni vema kufanya majaribio kupima kiwango cha matokeo..mazuri, wastani, mabaya..hakuna mradi wowote wa PPP hadi sasa ambao umejaribiwa au uko kwenye majaribio..sielewi kwa nini huyu mtu kila mara anarudia kitu kile kile, anabadilishabadilisha maneno, mara..kuchachusha sijui kuvutia..anza kwanza huo wa DART kwa majaribio kupima sera ya PPP inafaa au haifai au wapi parekebishwe kabla ya hii mingine..ana matatizo gani huyu??
tuache PPP wakati dunia nzima nchi zinazojenga uchumi wa kisasa wanatumia PPP. Kenya, Botswana, Vietnam, Malaysia, India, China wacha Ulaya na America.TUJIPE MUDA MKUU
Unafungua milango kwa PPP ya SGR ya nini, wakati hata hiyo ya DART hujaanza..? una uhakika gani PPP ya DART itafanikiwa? na hivyo hata PPP ya SGR pia itafanikiwa..
Nadhani nimeeleza awali umuhimu wa kufanya majaribio ili kupata uhakika wa matokeo unayotaka..si sahihi kufanya mambo bila kujali matokeo yanaweza kuwa si yale unatarajia..ķwani kuna haja gani kuharakisha kufanya miradi na PPP? Km tumefanya miradi/uwekezaji hapo awali bila PPP haraka ya nini sasa hivi..?Kwani huwezi kufungua milango yote?
Mimi nadhani kama Taifa tunahitaji kusimama pamoja kwenye hili
Majaribio yalishafanywa Kenya, Botswana, Vietnam, Malaysia, India, China wacha Ulaya na America.Nadhani nimeeleza awali umuhimu wa kufanya majaribio ili kupata uhakika wa matokeo unayotaka..si sahihi kufanya mambo bila kujali matokeo yanaweza kuwa si yale unatarajia..ķwani kuna haja gani kuharakisha kufanya miradi na PPP? Km tumefanya miradi/uwekezaji hapo awali bila PPP haraka ya nini sasa hivi..?
Mkuu kuna kitu kimenishtua hapo, unasema bakhressa ni mwekezaji mkubwa Uganda railway? Kivipi?Balhresa Hana shida Uganda Railway Yuko kule na ndio Mwekezaji mkubwa ana uzoefu na mkurigenzi WA TRC alimtaja kuwa NI mmojawapo WA waliosema wako wako tayari wengi Tu wataweza Kwa ajili ya kusafirisha mizigo Yao wakiwemo Akina Dangote Cement,kampuni kubwa za mafuta NK
Kwao sio kitu kikubwa Sana kumiliki treni binafsi
Pia Kadogosa alimtaja Mo Dewji kuwa kaomba kuleta treni luxury ya utalii
Sasa mbona unataka kuonyesha km vile hujui unalotetea..ni sawa kulinganisha Tanzania na Botswana? Kitu gani kinakupa uhakika kwamba jambo lililofanywa Botswana likafanikiwa likifanywa Tanzania litafanikiwa pia, au jambo lilifanywa Tanzania likafeli Likifanywa Botswana litafeli pia..mfano Botswana na Tanzania kunapatikana Almasi, lakini mbona Pato na biashara ya Almasi Botswana ni ya tija zaidi kuliko Tanzania..hivyo si sahihi kudhani majaribio ya PPP Botswana yatatoa matokeo yale yale kwa Tanzania, mazingira ya kufanya PPP yanayofautiana kwa kila nchi..watu(idadi), sera, uchumi, tabia na utamaduni, nk nk..matokeo ya majaribio ya PPP Kenya si ya Tanzania! Kuna nini Kenya ambacho Tanzania hakipo? Mbona uchumi wao ni bora kuliko wa Tanzania..?Majaribio yalishafanywa Kenya, Botswana, Vietnam, Malaysia, India, China wacha Ulaya na America.
Ukiona comment hii ya chama cha mbogamboga tayari mambo yameshaharibika.Ngoja waje Bavicha waseme👀
Hata wiki haijaisha duuh!
Bahkhesa kawekeza treni uganda Kwa ajili ya mizigo yake, treni luxury yà kitalii inayosimama kila eneo na kushusha watalii watalii maeneo ya vivutio vya utalii iwasubiri hata masaa manne kuendelea na safari au kigeuza Mo Dewji ndio kaomba kuendesha hiyo treni ya kitaliiMkuu kuna kitu kimenishtua hapo, unasema bakhressa ni mwekezaji mkubwa Uganda railway? Kivipi?
Pia unasema mo kaomba kuleta treni ya utalii? Treni ya utalii ni nini? Ni ya abiria au ya utalii kivipi?
Kila jambo likishafanyiwa majaribio maeneo mengi kinatengenezwa Standard Unit, PPP sio jambo geni hata hapa Tanzania kwa mfano SONGAS ni mradi wa PPP sijui kama unafahamu hiliSasa mbona unataka kuonyesha km vile hujui unalotetea..ni sawa kulinganisha Tanzania na Botswana? Kitu gani kinakupa uhakika kwamba jambo lililofanywa Botswana likafanikiwa likifanywa Tanzania litafanikiwa pia, au jambo lilifanywa Tanzania likafeli Likifanywa Botswana litafeli pia..mfano Botswana na Tanzania kunapatikana Almasi, lakini mbona Pato na biashara ya Almasi Botswana ni ya tija zaidi kuliko Tanzania..hivyo si sahihi kudhani majaribio ya PPP Botswana yatatoa matokeo yale yale kwa Tanzania, mazingira ya kufanya PPP yanayofautiana kwa kila nchi..watu(idadi), sera, uchumi, tabia na utamaduni, nk nk..matokeo ya majaribio ya PPP Kenya si ya Tanzania! Kuna nini Kenya ambacho Tanzania hakipo? Mbona uchumi wao ni bora kuliko wa Tanzania..?
Kama Mo kaomba nadhani hakuna haja ya kumnyimaBahkhesa kawekeza treni uganda Kwa ajili ya mizigo yake, treni luxury yà kitalii inayosimama kila eneo na kushusha watalii watalii maeneo ya vivutio vya utalii iwasubiri hata masaa manne kuendelea na safari au kigeuza Mo Dewji ndio kaomba kuendesha hiyo treni ya kitalii
Watalii waweza ishia hata ubungo tu au pugu au mlimba au morogoro na wakageuza muda wao wanataka wenyewe kuanzia muda wa kuondoka au kurudi sio Kwa ratiba ya TRC tu kuona mandhari au wao wakijipangia wenyewe sisi tunataka kuondoka muda huu hatutaki ratiba ya TRC
Ni sawa tu na kukodi gari ya tours au taxi ikupeleke utakako Kwa muda wako
Kwaniní tusiwape JWTZ waendeshe hii Biashara?===
Mkurugenzi wa Ubia nchi Bwana David Kafulila ameiambia ARIDHIO ya TBC kuwa Sasa ni rasmi mtu au kikundi chochote chenye Uwezo na nia ya kununua na kuendesha vichwa na treni za SGR wanakaribishwa kufanya hivyo Kwa sharti la Ubia na Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania chini ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Kafulila anasema kama ilivyo kwa miundombinu ya usafiri na usafirishaji ya Serikalí akitolea mfano wa barabara kuna watu wamenunua Mabasi na wanayaendesha na Serikali inapata kodi lakini kubwa ni Wananchi kupata huduma Bora huduma nzuri na kwa wakati ndivyo itakavyokuwa kwa SGR huku akitolea mfano wa mradi mkubwa kati ya DART na Mbia ambao kwa kiwango kikubwa uko tayari na mabasi zaidi 170 yanaletwa kwa kuanzia.
Kafulila anasema Serikali inafanya haya ili kuchachusha Uchumi wa nchi ( economic stimulus ) ambayo ndio hasa sera za Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan na kwa sera hizi ndio zinaifanya Tanzania kuendelea kusalia kileleni kwenye nchi zote za maziwa makuu.
View attachment 3057496
Kazi ya JWTZ ni kuendesha reli?!!!Kwaniní tusiwape JWTZ waendeshe hii Biashara?