CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Kanogewa na teuzi huyu!! Kazi kusifiaWakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
👇👇👇
View attachment 2365046
Hahahaha.....tumbili hahitaji uDED bhana, huu uAfisa habari unamtosha.Tumbili anafukuzia uDED Igunga
Hivi, wakati mwingine hata ninyi akili huwa inarudigi kwa muda eeh na baadaye inahama mazima!!!! Ila kwenu usipofanya haya utabakia kubeba mikoba a makabrasha ya we zako, unawasindikiza hadi kwenye vii eiti na kuwapungia mikono wanapoondoka.Tumbili anafukuzia uDED Igunga
Fix tu! Unasaka uteuzj tu!Wakati baadhi ya Watanzania wachache wakiendelea kufumba macho na masikio wasione wala kusikia kazi kubwa na Nzuri inayofanywa na Rais wetu hodari wa awamu ya sita Mhe Samia Suluhu Hassan,
Aliyekuwa mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila ameandika haya Kwenye ukurasa wake wa tweeter kuhusu Tanzania kuvunja rekodi ya kuuza nje ya nchi bidhaa na huduma,
Kwa taarifa tu, Rekodi hii haijawahi kutokea tangu nchi yetu iwe huru kisiasa na kiuchumi,
#Hongera Rais Samia Suluhu Hassan na team yako,
[emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2365046
Huo unakufaa Wewe mzee JohnTumbili anafukuzia uDED Igunga
Kwanini usijadili hoja na Wewe unajadili mtoa hoja?Kafulila atulie kwasasa mke ndiyo analisha famillia pia nafasi za teuzi zimejaa.
Huwezi toka RC Uwe DEDTumbili anafukuzia uDED Igunga
Hoja zitoke wapi kwa CHADEMA?Kwanini usijadili hoja na Wewe unajadili mtoa hoja?
InawezekanaHuwezi toka RC Uwe DED
Acha kutukana watu bhana, kwanini Moderator JamiiForums karuhusu comment yako? Kwahiyo watanzania ambao watachagua Mgombea tofauti na unayemtaka wewe ndio wanakuwa ni wapumbavu?Ni mpumbafu tu ndio atamnyima kura Samia,Naamini hata Mbowe na Lissu watamchagua must,
Ni Waziri au Katibu Mkuu au Mkuu wa taasisi sio DC, DED protokali zinagomaInawezekana
Kwani upumbafu Ni TUSI?Acha kutukana watu bhana, kwanini Moderator JamiiForums karuhusu comment yako? Kwahiyo watanzania ambao watachagua Mgombea tofauti na unayemtaka wewe ndio wanakuwa ni wapumbavu?