Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Wa
Watu walitolewa tra wakaenda KUwa Ma RAS Huko mikoani, wengine Makatibu wakuu wakaenda KUwa Ma RAS, achana na ujinga wa itifaki utakufa njaaNi Waziri au Katibu Mkuu au Mkuu wa taasisi sio DC, DED protokali zinagoma