Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Watu walitolewa tra wakaenda KUwa Ma RAS Huko mikoani, wengine Makatibu wakuu wakaenda KUwa Ma RAS, achana na ujinga wa itifaki utakufa njaaNi Waziri au Katibu Mkuu au Mkuu wa taasisi sio DC, DED protokali zinagoma
Wa
Watu walitolewa tra wakaenda KUwa Ma RAS Huko mikoani, wengine Makatibu wakuu wakaenda KUwa Ma RAS, achana na ujinga wa itifaki utakufa njaa
Hizo ni opinion za watu, Silazima aliyeandika hapo ni Kafulila, Don't generalizeWa
Watu walitolewa tra wakaenda KUwa Ma RAS Huko mikoani, wengine Makatibu wakuu wakaenda KUwa Ma RAS, achana na ujinga wa itifaki utakufa njaa
Unasemaje hakuna la kusifia wakati tumepata fedha za kigeni zaidi ya trilioni sita?Kuanzia 2019 mpaka sasa madhara ya uviko bado yapo.
Mwaka huu kidogo ndio kwanza mambo yameanza kulegea hivyo hakuna jipya wala la kusifia.
Shida yake tu hana ubongo unaojitegemea!Ila huyu Mama anajitahidi Sana tukiacha chuki zetu za kijinga kijinga,
Mauzo kuongezeka kwa trilioni 6 sio jambo dogo,
2025 kura yangu anayo huyu Mama
Umeelewa?? Nilimkkoti MTU aliyesema kafulila hawez kuteuliwa nafas za chini ya mku wa mkoa nikampa mifanoooo.kisa itifakHizo ni opinion za watu, Silazima aliyeandika hapo ni Kafulila, Don't generalize
OK, noted chief,Umeelewa?? Nilimkkoti MTU aliyesema kafulila hawez kuteuliwa nafas za chini ya mku wa mkoa nikampa mifanoooo.kisa itifak
Hahaaa mkapa alishawahi kutuita watz wapumbavu so tangu hapo sio tusi tena likawa halali kutumika popote saa yoyote...Acha kutukana watu bhana, kwanini Moderator JamiiForums karuhusu comment yako? Kwahiyo watanzania ambao watachagua Mgombea tofauti na unayemtaka wewe ndio wanakuwa ni wapumbavu?
Hakika Mama anaupiga mwingi mno, Tatizo la Watanzania Ni mfumo dume tu ila kazi inafanyika kwa Rais SamiaHongera kwa Samia
Hoja zitoke wapi kwa CHADEMA?
Hakika Mama anaupiga mwingi mno, Tatizo la Watanzania Ni mfumo dume tu ila kazi inafanyika kwa Rais Samia
Chawa wa Mbowe katika ubora wakoChawa katika ubora wako.
Ushawai kuugua ugonjwa wowote utotoni????Ila huyu Mama anajitahidi Sana tukiacha chuki zetu za kijinga kijinga,
Mauzo kuongezeka kwa trilioni 6 sio jambo dogo,
2025 kura yangu anayo huyu Mama
Kumbe ndio sababu!!!! waliweza kwa mtangulizi wake, Kwa Mama sijui kama anapenda kusifiwa................Mama mrudishe Kafulila akusaidie una watu wengi mabubu
Yes, why not, Wewe hujawahi kuugua?Ushawai kuugua ugonjwa wowote utotoni????
Mbona kama sioni wapi Mama kasifiwa hapa...............Kumbe ndio sababu!!!! waliweza kwa mtangulizi wake, Kwa Mama sijui kama anapenda kusifiwa................
Life haiko hivyo wewe, na vyeo havina mwenyewe ni kupokezana tuu, anaweza akawa hata mlinzi na usije ukashangaaHuwezi toka RC Uwe DED