Kafulila: Rais Samia kuongoza mwelekeo wa Tanzania ya miaka 25 ijayo baada ya ile 25 ya Mkapa kukamilika

Kwahiyo huyu kijana Kufulila anatwambi kwamba dunia inadaiwa.
 
Kafulila ni mtu bora sana Kwa Sasa hapa Tanzania, hataki rushwa, hataki Ufisadi lakini ni mjuvi wa mambo mengi lazima uongozi umwangalie najua mtanisema Mimi ni chawa wake sawa ila hata nyie msikilizeni kwa makini
Unaweza kuthibitisha haya unayo yasema,nani asiependa hela dunia hii
 
1.Ameasisi Dira Mpya ya 2025

2.Ameasisi Mageuzi ya Mitaala ya Elimu ya Msingi Hadi Vyuo Vikuu

3.Anakusanya maoni Ili kufumua mfumo wa Kodi ambao imekuwa sio Rafiki Kwa biashara na uwekezaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…