Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
- #21
Sasa unataka watembee kwa miguu?kukopa sio tatizo matumizi ndio hatuelewi hapo tushakopa pesa kibao riba zinasubiriwa ila hakuna cha maana jiulize zile 190+b za kununua magari mapya ya wakurugenzi na wakuu wa wilaya hakukua na sehemu nyingine ya kupeleka hiyo pesa unanunulia kiongozi gari wakati analotumia bado linauwezo wa kuhudumu