The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Kwa nini unataka kuonesha kwamba Tanzania tunafanya hivyo Kwa Ajili ya uchaguzi? Je miaka yote hatufanyi hivyo? Miaka yote kuna uchaguzi?Mkuu angalia usije ukakurupuka wenye akili wakakuona upstairs una makamasi kama ya huyo tumbiri anayetafuta sifa za kisiasa.
BOT inapo issue T-bill kwa umma katika riba kubwa au ndogo inategemeana na lengo la kiuchumi ambalo Serikali inataka kulifanikisha.hapo issue sio riba kubwa au ndogo inategemeana na jambo la kiuchumi lililopelekea Serikali ku offer hizo hati fungani.
Kenya anaweza offer 16% lakini lengo Lake ni ku curb inflation,Tanzania unaweza ku offer 5% but lengo lake ni kupata pesa kupeleka kwenye uchaguzi,Namibia anaweza ku offer 9% a lengo lake anataka kupata pesa apeleke kwenye kujenga mradi.
Kwani ukipongeza uimara wa Sera za Samia RC aliyetumbuliwa atakupitia? Acha chuki za kijinga wewe.
Hata sovereign rating agency zote zimeiwwka Tanzania kwenye alama.ya B+ kutoka B- Kwa sababu ya stable macroeconomic policies.