Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Kafulila; hawezi kuwa mshauri me elekezi wa maswala ya uchimi au sera muhimu za taifa.

Hana uelewa huo, this nonsense has to stop.

Amepewa nafasi ya upendeleo anatakiwa, atulie; upuuzi na uropokaji wa huyu mtu nadhani unaanza kukera watu wengi.
 
Kafulila; hawezi kuwa mshauri me elekezi wa maswala ya uchimi au sera muhimu za taifa.

Hana uelewa huo, this nonsense has to stop.

Amepewa nafasi ya upendeleo anatakiwa, atulie; upuuzi na uropokaji wa huyu mtu nadhani unaanza kukera watu wengi.
Wewe jamaa Kafulila nahisi alikutafuna sio Bure
 
Wewe jamaa Kafulila nahisi alikutafuna sio Bure
Aaaargh

Shibe mwana malevya, njaa mwana malegeza.

Mjadala wa hoja unawaza kumtetea mtu kwa msingi wa kutumiwa.

Kuna wasaa sitaki kufukiria mtu anapitia mazingira gani hadi kuwa na fikra kama zako.

Tabia nazo ni scientific influenced na zina maelezo yako kwanini watu walivyo

So I’ll spare you, idea ya kuchezewa mtoto wa kiume umeitoa wapi. Lakini msingi wake njaa
 
View attachment 2991403
Habari JF,

Pamoja na kelele nyingi dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka, Wapinzani wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!

Taarifa hii ya IMF naamini itakuwa si njema sana kwao kwani wakati wote na popote namba huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo au uzushi hasa kwa wale wasiolitakia mema Taifa hili.

=========

Katika ukurasa wake wa twitter (X) zamani tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya kwa ufupi ( soma hizo tweet tatu hapo chini kwa makini)

Kwa niaba yangu na familia nzima ya JF naomba kumpongeza sana Mhe David Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri yote ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina mengi anayoitwa mara aitwe Chawa Promax , mara aitwe mgane et Al.
View attachment 2991401View attachment 3268468View attachment 3268469
Yaani credit, ni kafulila?
 
Yaani credit, ni kafulila?
On the basis of deduction either wewe jamaa ni Kafulila mwenyewe kwa jinsi ilivyokuwa committed kumtetea; au una maisha magumu sana ambayo mlo wako unategemea Kafulila.

Tabia pia ni science, you can deduce behaviour na kumjua mtu.

Mie sio wa mzaha-zaha nikiamua

If you want to play psychology, we can play that game.

Pathetic like I told you before
 
View attachment 2991403
Habari JF,

Pamoja na kelele nyingi dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka, Wapinzani wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!

Taarifa hii ya IMF naamini itakuwa si njema sana kwao kwani wakati wote na popote namba huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo au uzushi hasa kwa wale wasiolitakia mema Taifa hili.

=========

Katika ukurasa wake wa twitter (X) zamani tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya kwa ufupi ( soma hizo tweet tatu hapo chini kwa makini)

Kwa niaba yangu na familia nzima ya JF naomba kumpongeza sana Mhe David Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri yote ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina mengi anayoitwa mara aitwe Chawa Promax , mara aitwe mgane et Al.
View attachment 2991401View attachment 3268468View attachment 3268469
Kazi iendelee kwa Utu.
 
On the basis of deduction either wewe jamaa ni Kafulila mwenyewe kwa jinsi ilivyokuwa committed kumtetea; au una maisha magumu sana ambayo mlo wako unategemea Kafulila.

Tabia pia ni science, you can deduce behaviour na kumjua mtu.

Mie sio wa mzaha-zaha nikiamua

If you want to play psychology, we can play that game.

Pathetic like I told you before
Umeandika vitu vingi ila havina mantiki kabisa,

Nahisi unamuda wa kuchezea
 
Havina mantiki kivipi? Based on behaviour analysis ya mtu niliekuwa najibizana nae?

Muda wa kuchezea leo ninao
Wewe huna uwezo wa kumfanyia Kafulila character assassination kwani ameshavuka hizo level.

Kafulila ni mtu wa facts tu with evidence
 
Wewe huna uwezo wa kumfanyia Kafulila character assassination kwani ameshavuka hizo level.

Kafulila ni mtu wa facts tu with evidence
I doubt kama unauelewa wa disagreement na character assassination.

Ni mtu unaejiropokea tu, ilimradl.
 
GDP is an outdated measurement. It was not even intended to be used as an economy measurement.

Read the Nobel laureate Joseph Stiglitz (Nobel Memorial Prize in Economic Sciences in 2001) on this subject.


 
GDP is an outdated measurement. It was not even intended to be used as an economy measurement.

Read the Nobel laureate Joseph Stiglitz (Nobel Memorial Prize in Economic Sciences in 2001) on this subject.


Shida ni kwamba I doubt kama Kafulila anajua hata hizo formula za inflow or outflow za GDP.

Anaropoka tu
 
View attachment 2991403
Habari JF,

Pamoja na kelele nyingi dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka, Wapinzani wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!

Taarifa hii ya IMF naamini itakuwa si njema sana kwao kwani wakati wote na popote namba huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo au uzushi hasa kwa wale wasiolitakia mema Taifa hili.

=========

Katika ukurasa wake wa twitter (X) zamani tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya kwa ufupi ( soma hizo tweet tatu hapo chini kwa makini)

Kwa niaba yangu na familia nzima ya JF naomba kumpongeza sana Mhe David Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri yote ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina mengi anayoitwa mara aitwe Chawa Promax , mara aitwe mgane et Al.
View attachment 2991401View attachment 3268468View attachment 3268469
Ugomvi unaanza hapa,
 
GDP is an outdated measurement. It was not even intended to be used as an economy measurement.

Read the Nobel laureate Joseph Stiglitz (Nobel Memorial Prize in Economic Sciences in 2001) on this subject.


Kwahiyo GDP inapima Nini?
 
Back
Top Bottom