Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Kafulila: Tangu Rais Samia aingie madarakani Uchumi wa Tanzania umekuwa kwa kasi, ni zaidi ya Jumla ya ukuaji wa Uchumi wa nchi za Kenya na Uganda

Rais Samia amewapita Uganda na Kenya kwenye ukuaji wa Uchumi kwanini kama Taifa tusijipongeze kwa hili?
 
View attachment 2991403
Habari JF,

Pamoja na kelele nyingi dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka, Wapinzani wakidai uchumi wa Tanzania unadorola.!

Taarifa hii ya IMF naamini itakuwa si njema sana kwao kwani wakati wote na popote namba huwa hazidanganyi na zinanguvu zaidi ya porojo au uzushi hasa kwa wale wasiolitakia mema Taifa hili.

=========

Katika ukurasa wake wa twitter (X) zamani tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini PPPC Bwana David Kafulila ameandika haya kwa ufupi ( soma hizo tweet tatu hapo chini kwa makini)

Kwa niaba yangu na familia nzima ya JF naomba kumpongeza sana Mhe David Kafulila Kwa kuendelea kuyasema mazuri yote ya Serikali ya awamu ya sita bila kujali majina mengi anayoitwa mara aitwe Chawa Promax , mara aitwe mgane et Al.
View attachment 2991401View attachment 3268468View attachment 3268469
Samia hakamatiki, Lissu na CHADEMA yake hoi taabani
 
Back
Top Bottom