Hata hapo Kenya zipo
Ni nyingi sana fanya ku-googlesasa kenya ina tofauti gani na tanzagiza? kwanza kenya imeanza kuuzwa zamani, weka mfano wa highway system USA, EU au any western christian country ambapo barabara imepewa watu binafsi namaanisha important highway system ambayo ina compromise national security nitajie nchi moja tu iliyofanya hivyo …
Ni nyingi sana fanya ku-google
Huyu ni Kafulila hebu na yeye apewe muda tuoneKila siku TUTA , TUNATARAJIA, MIAKA IJAYO,. TUNATEGEMEA.
MPAKA SASA SGR HAIFANYI KAZI. MADEREVA WAPO, WAHUDUMU WAPO, MATRENI YAPO, ENGINE ZIPO, RELI IPO. WOTE WANAKULA MSHAHARA PASIPO KUFANYA KAZI.
WATU TUNATESEKA KWENYE FOLENI YA CHALINZE KIBAHA.
Pesa inatolewa na Mwekezaji Mkuu, sio Serikali.Hiyo pesa wangemalizia bandari kavu ya kwala na malori yote kuzuiwa kuingia dar kuishia huko kwala,pesa wangeteneza 4 lanes kibaha to moro nyingine wakajenga barabara za mitaani
nyingi ni nini? nitajie moja tu …
Toll road charges
Toll roads in the UK - find out how much it costs to use them and where they are.www.gov.uk
Pitia hii link dia
Hiyo taarifa ya umiliki umezitoa wapi kuwa ni za Serikali?toll roads are not private owned roads, hizo zimejengwa na zinamilikiwa na serikali, usichanganye mambo …
Hujaelewa kinachojadiliwa hapa.Bure vipi wakati wanakusanya pesa zao, KUPITIA Mradi huu?
Hebu nieleweshe vizuri sana.Hujaelewa kinachojadiliwa hapa.
Soma thread tangu mwanzo.Hebu nieleweshe vizuri sana.
Shida iko wapi kunielewesha?Soma thread tangu mwanzo.
mheshimiwa Kafulila kamilisheni basi za huku mikoani kwanza,mfano Kigoma Katavi,Kigoma Tabora na Kigoma Kagera.View attachment 2985383
Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Tanzania Mhe David Kafulila amesema ule mradi wa barabara za kulipia(toll road) uliokwama tangu awamu zilizopita Sasa kwenye awamu hii ya sita umeiva.
Mhe Kafulila amesema, mradi huu utatumia zaidi ya US$ 800 milioni karibu sawa na TZS 2.08Trilioni.
Mhe Mkurugenzi Kafulila amesema barabara zinazokwenda kujengwa zitakuwa ndio barabara Bora zaidi hapa nchi zitakazoishi mpaka miaka 35 bila kufanyiwa Ukarabati mkubwa.
Aidha, Mhe Kafulila amesema nia ni kupunguza msongamano wa magari na watu kati ya Dar-Morogoro-Dodoma ambapo Sasa yule anayehitaji kwenda kwa kasi itamlazimu alipie kiasi Fulani Cha pesa ili apite barabara ya Express.
Mhe Kafulila anaeleza kuwa Tanzania itafunga mkataba na mwekezaji huyo na baada ya mkataba kuisha barabara zitasalia kuwa mali za watoto wa Tanzania.
Kafulila anasema nia kubwa ya Serikali ya Dkt Samia Suluhu ni Watanzania kupata huduma bora kwa gharama nafuu pasina kutumia Fedha ya Serikali.
===
Mkuu miradi yote inatekelezwa na Rais Samiamheshimiwa Kafulila kamilisheni basi za huku mikoani kwanza,mfano Kigoma Katavi,Kigoma Tabora na Kigoma Kagera.
Kwann mnapenda fantasies sana,miradi ambayo mnaifikiria ni mizuri lakini kamilisheni ya misingi kwanza!
Boda boda anapitaje huko kwa Express hata hivyo,Kwahiyo hao bodaboda watakaogongwa na hizo lombardine nani atawalipa fidia? Hizi mwendo kasi za kimara zinaenda 40mph kilasiku wanagongwa, sembuse hizo xpress, mradi kuchelewa sio kwa sababu ya kukosa maarifa waliona ni mradi wa kipuuzi, anasema wajukuu zetu ndo watakabidhiwa ni baada ya miaka mingapi? Kule djibut kuna mwekezaji kagoma kukabidhi bandari, bukina faso ikulu ni ya kupanga kwa wafaransa ilijengwa kwa mikataba hii ya kishenzi
Polepole tutafika tu Mungu yupo Upande wetu sana.tulichelewa sana kufika hapo, tena ikiwezekana wawekwe wakandalasiwatano na wapewe miezi 12 tu ikutane na uchaguzi wa next year. bora hawa wajenge kuliko hao wanaokusanya na kuweka ng'ambo. Mama kazi iendelee.