Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Hata hapo Kenya zipo
sasa kenya ina tofauti gani na tanzagiza? kwanza kenya imeanza kuuzwa zamani, weka mfano wa highway system USA, EU au any western christian country ambapo barabara imepewa watu binafsi namaanisha important highway system ambayo ina compromise national security nitajie nchi moja tu iliyofanya hivyo …