Kafulila: Tanzania kwa mara ya kwanza tunajenga barabara za kisiasa za kulipia 150km kutoka Kibaha Pwani-Morogoro bila Fedha ya Serikali

Ukichelewa kulipia Express way, tutakuacha kwenye foreni na malori
 
Punguzeni porojo kazi zianze mara Moja
 
BWANAA EEH MKOPO ALAFU MTULIPISGE MSITUCHOSHEE
 
Ukiwa na mchongo bwana. Yaani unaona kila unaloongea lina uzito hata kama haujashirikisha akili yako sawa sawa.

Aliyekuwa ni mwanaume wa shoka ni Magufuli tu, akisema anafanya ndani ya muda huo huo. Hawa waliosalia ni wapiga domo tu. Miaka nenda rudi tunapambana na ahadi kazi kuongea tu maneno mengi ila hakuna uhalisia wa mambo.
 
Kuna wazungu walikuja kuwekeza usambazaji maji dar kipindupindu kilitamalaki dar, tuliwatimua wakatushitaki miga tukawalipa mamilioni, hatukomi tu, tunakuja na porojo nyingine
 
Hawa Watu Walitakiwa Kutandikwa Viboko Hadharani
Unaacha Barabara Aliyojenga Mzilankende
Uipeleke Mpaka Morogoro, Iwe Free


Unajenga Mpya Ambayo Itakuwa Ya Malipo Bila Aibu
Mabasi Yatakapopita Njia Ya Malipo Nauli Itapanda Ambapo Mzigo Utarudi Kwa Wananchi Tena
 
Kafurila naye kawa chawa wa Samia huu mradi aliisha wahi kuusema Kinana kama miaka miwili imepita,hakuna kinacho endelea me nafikiri tokea Kinana aseme Sasahivi wangeliisha anza tena Kinana alisema watajenga hadi tunduma.Serikali ya Samia imebakiza maneno tu vitendo zero Barabara ya mbezi Kibaha yenyewe imewashinda kumalizia mpaka Sasahivi,tunataka kuona matendo sio blaablaa.
 
Kwa hiyo treni ya mwendokasi,kazi yake itakuwa ni nini?

Nchi kwa upigaji hii!!!!
 
Vyeti Feki wote waliotumbuliwa na Shujaa Magufuli Watunukiwe Nusu Degree

Akina ChoiceVariable na Retired πŸ˜‚πŸ˜‚

Mtanikumbuka πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Na Lucas Mwashambwa ,🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Wazee wa makarai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…